Prime Dynamics
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 551
- 249
Kwenye mkutano wenyewe Gwajima alikuwa ana soma notes alizo nakili kutokana kitabu cha Halima cha utekelezaji. Gwajima hakuna kitu pale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja za kijinga kabisa, yaani hapo fedha zinawekwa kwenye a/c ya mbunge au halmashauri?Katika mkutano wa kampeni unaoendelea hapo Kawe, mgombea wa Ubunge wa Kawe kupitia CCM, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amesema jambo fulani la kushangaza...
Gwajima ni tapeli na mkabila snKwenye mkutano wenyewe Gwajima alikuwa ana soma notes alizo nakili kutokana kitabu cha Halima cha utekelezaji. Gwajima hakuna kitu pale
Mwanzoni nilikua nashangaa kwanini baadhi ya watu humu hushangilia misiba au matatizo ya maccm au kundi flani la watu, nikaja gundua kuwa uonevu huzaa chuki na visasi kwenye mioyo ya watu. Unamcheka anayepigwa na polisi leo, kesho usitegemee akaja kulia kwenye msiba wako...
Hivi ccm kuna hoja kweliUtaishia kutukana tu.
Toka afikirie kujirekodi ile video ya "mkono wa baunsa" nimepata mashaka sana na akili yake.Hivi unaona akili za GWAJIBOY zipo sawa kweli?
huyu mgombea sijisahau akadhani kuwa wananchi wa Kawe ni mabumunda kama waumini wake. huu utumbi ni wa kwwenda kudanganya washamba wenzakeKatika mkutano wa kampeni unaoendelea hapo Kawe, mgombea wa Ubunge wa Kawe kupitia CCM, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amesema jambo fulani la kushangaza...
Kwamba alitaka kumnunua akapigwa za Uso ama?Katika mkutano wa kampeni unaoendelea hapo Kawe, mgombea wa Ubunge wa Kawe kupitia CCM, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amesema jambo fulani la kushangaza...
Nileteeeni GwajimaaaaaaSIJAWAHI KUONA MCHUNGAJI MWONGO KA GWAJIMA. MTUNGA MANENO YA KINAFIKI HATARI KABISA SHETANI FOLLOWER HUYU