Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
hahhaah na huyu mchungaji anavyojua kuongeaKachokoza moto acha umuwakie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahhaah na huyu mchungaji anavyojua kuongeaKachokoza moto acha umuwakie
Kiki ya Gwajima, kujaza waumini kanisani.View attachment 492823
Salamaaa
Sina mengi zaidi ya kumwambia diamond kesho anunue ndimu pamoja na kinywaji kikali kwani mchungaji keshasema kesho anakuchambua nami ntakwenda kumsikiliza kwamaan umetapika sana kwenye wimbo wako huu mpya.
Kwakuwa uu mnafiki sana basi dawa yako imepatikana.
Sina mengi zaidi ya kukupa pole kwa huu mlango ulioingilia.
Jamaniii ivi hujui kiongozi anapokosea anasemwa na kuonywa na kiongozi wa dini?umesahau mamlaka imewekwa na Mungu?swali mamlaka IPI hiyo na inatumia sheria zipi?mamlaka inayotumia sheria za Mungu lazima ihojiwr according to sheria iliyoiweka hiyo mamlaka,,Ni wakati wa Serikali kurudi kwenye masijara na kuangalia usajili wa kanisa la Ngwajima kama alisajili kama kanisa au tawi la kisiasa la .......
Hiyo ndiyo ibada aliyoiandaa kwa ajili ya mabwege yake.View attachment 492823
Salamaaa
Sina mengi zaidi ya kumwambia diamond kesho anunue ndimu pamoja na kinywaji kikali kwani mchungaji keshasema kesho anakuchambua nami ntakwenda kumsikiliza kwamaan umetapika sana kwenye wimbo wako huu mpya.
Kwakuwa uu mnafiki sana basi dawa yako imepatikana.
Sina mengi zaidi ya kukupa pole kwa huu mlango ulioingilia.
Wewe mwenyewe kesho utasali hapo kupitia you tube.Wanaosali hapo kanisani wapimwe akili....
Povu linakutokakama ni ya Zari mbona tunaijua? au ya baba yake Dai yote hayo twayajua, au ya Freemasn....mbona hayo pia tetesi twazijua? anyways kesho sio mbali
Jambazi BashiteTapeli gwagima
Mkuu huu mwaka tutaona mengiMkuu umewaza mbali. Kesho baba yake Diamond anaweza kupandishwa madhabahuni.
Sjaona hiyo picha yenye hayo maneno mkuu.check akaunti yake ya instagram inaitwa: bishopgwajima
haaaa na sim inabidi uwe umejiunga na bundle usikose yanayoendeleaMimi ikipotea nauza figo nanunua nyingine