Huyo mchungaji asambaze injili ya bwana, Yesu alitukanwa na kukashifiwa sana na warumi, mafarisayo na watu wasio mcha Mungu lakini hakunyanyua kinywa chake kusambaza umbeya.
Huo wimbo wa Diamond nimeusikiliza kwa umakini sana, Chibu kajaribu kuwa neutral sana sana sana. Asingeweza kuimba zaidi ya alivyoimba. Kipande cha Gwajima anasema "Mara nasikia Konda, Gwajima ugomvi umekolea". Sasa hapo Chibu kamchafua wapi Gwajima.
Chibu anasema asimame wapi, yeye mtoto wa pande zote, anasema wazi kila akijaribu kunyamaza moyo unakataa, msikilize kwa makini anasema media zote wanataka kiongozi atoke, nchi inaingia matope (hapa yupo wazi kabisa kua japo Konda ni mlezi wao lkn uwepo wake ni kama nchi imeingia matope).
Gwajima hawezi kumshusha Diamond hata afanye nini. Dogo yupo strong kuliko Gwajima anavyodhania. Dogo anajenga misikiti na kurudisha fadhila kwa jamii, yeye Gwajima hata kanisa lake kashindwa kujenga anasalisha watu uwanjani.