Gwajima anawakilisha lile kundi linalotaka kumkwamisha Mama kuongoza nchi, hili la Chanjo ni kisingizio tu

Gwajima anawakilisha lile kundi linalotaka kumkwamisha Mama kuongoza nchi, hili la Chanjo ni kisingizio tu

Mama alishasema chanjo ni hiari. Sasa anakwamishwaje hapo?

Na leo amechanja kwa hiari yeye na watu wengine....
Kwani Gwajima anamtuhumu Mama anataka kuwaletea madhara Raia wake kama kuchanja ni hiari? Kulikuwa na haja ya shutuma na kejeli zote, kama unaona hazifai wewe waambie watu wako msichanje basi
 
Hakuna atakayeuza wala kununua bila huu mhuri wa COVID 19

Ufunuo wa Yohana 13​

Mnyama kutoka Baharini​

1 Kisha niliona mnyama mwenye pembe kumi na vichwa saba akipanda kutoka baharini. Kila pembe yake ilikuwa na taji. Alikuwa na kumkufuru Mungu lililoandikwa kwenye kila kichwa...
..na iwe hivyo tu...

Ufaransa imeanza....

Wazee wa "conspiracy theories" wana "pang'ang'a nyingi tu".....

#TujitokezeKuchanjwa
 
..na iwe hivyo tu...

Ufaransa imeanza...
Sawa kila mtu ana mawazo yake na tumeshaambiwa ni hiari hakuwa na haja kumkejeli na kumtuhuma Mama , hii ni vita ya kisiasa na hili la chanjo ni uwanja tu wa mapambano
 
Sawa kila mtu ana mawazo yake na tumeshaambiwa ni hiari hakuwa na haja kumkejeli na kumtuhuma Mama , hii ni vita ya kisiasa na hili la chanjo ni uwanja tu wa mapambano
Swadakta....

Asingemtuhumu mama na utawala wake kuwa WAMENUNULIWA wala tusingekitaka chama kimfukuze....Sasa huwezi ukalala na "kunguni" halafu usijikune....
 
Inahitaji utafiti kuhakikisha chanjo tunazopata ni salama

Na inahitaji ujasiri na maamuzi mgumu pia ili kuhakikisha kwamba tuzigomea hizi chanjo sababu mwisho wa siku huna chanjo huwezi cross boarder. Je, tuna huo uwezo wa kujifungia???

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
Aaaamin Aaamin aaaamin aaaaaamin🙏

Siempre JMT
Siempre El comandante SSH
 
Swadakta....

Asingemtuhumu mama na utawala wake kuwa WAMENUNULIWA wala tusingekitaka chama kimfukuze....Sasa huwezi ukalala na "kunguni" halafu usijikune....
Lala naye mpuuze ila muangalie nyendo zake
 
Lala naye mpuuze ila muangalie nyendo zake
🤣🤣🤣
Sawa mkuu.

Atazidi kunawiri kupitia wewe na "bakteria" nao wataanza kukuandama.

Damu inaweza kupungua.

Mwishowe utaendelea kumuangalia nyendo zake ukiwa MAHUTUTI 🤣
 
Penye wengi hapakosi kuwa na mengi!

Ukiwa kiongozi wa watu lazima uwe na moyo mkubwa wa kustahamili mambo mbalimbali.

Gwajima si mnafiki.

Kuna kitendawili kimetokea watu vichwani mwao wamekuwa confused baina ya yale walokuwa wakiambiwa awamu ile na sasa,

Elimu zaidi itolewe yamkini na siyo kuwatisha wanaoelezea mitazamo yao.

Lazima ku-admit kuwa kuna confusion ambayo inabidi watu wapewe ufafanuzi na elimu na hamasa.
 
🤣🤣🤣
Sawa mkuu....

Atazidi kunawiri kupitia wewe na "bakteria" nao wataanza kukuandama....

Damu inaweza kupungua.....

Mwishowe utaendelea kumuangalia nyendo zake ukiwa MAHUTUTI 🤣
Basi tupige kura 😀
 
Penye wengi hapakosi kuwa na mengi!

Ukiwa kiongozi wa watu lazima uwe na moyo mkubwa wa kustahamili mambo mbalimbali.

Gwajima si mnafiki.

Kuna kitendawili kimetokea watu vichwani mwao wamekuwa confused baina ya yale walokuwa wakiambiwa awamu ile na sasa,

Elimu zaidi itolewe yamkini na siyo kuwatisha wanaoelezea mitazamo yao.

Lazima ku-admit kuwa kuna confusion ambayo inabidi watu wapewe ufafanuzi na elimu na hamasa.
Confusion na mitizamo tofauti ni jambo la kawaida lakini hii ni siasa ukimtazama vizuri Gwajima sio tena mjadala wa kuelimishana
 
Back
Top Bottom