[emoji23] [emoji23] [emoji23]nimecheka sana kuna kibamia cha mtu kitawekwa hadharani eti kina shepu ya ajabu
Sisi hatujui. Ila tunajua kuwa wajinga ni wale wanaowapigia kura viongozi kisa wamepewa chumvi na kanga! Ukiwemo na wewe!Kanisa la Gwajima limekuwa kama uwanja wa taifa, mashabiki wa simba na yanga wanaenda kishabikia timu zao...
Baadhi ya sisi watanzania ni wajinga beyond repair!!
Anajifanya nina vyeti vyake !!! mkinichokoza nitatoa !!! kumbe kajaza magazeti ya udaku kanisani ndio anawasomea hao wafuasi wake anaowaita watoto. Punde wale wate waliotuhumiwa na kushtakiwa na kesi za madawa watakuwa waumini wake kwenda kanisani kusikiliza UBUYU !! USHILAWADUUlitaka akasome la utumwa!? Aaaaaah sorry, la uhuru!?
Itabidi iwe hivyo anavyoviongea vinafikirisha.mimi nimetoka kufungua, nikaanza kumfollow Mange Kimambi
Mwambie akaleeee mtoto"Kesho mapemaa mungu akiniamsha salama nawahi kiti cha mbele kabisa maana hayo makombora yatakaoshushwa yatakuwa ni double touch kama picha linavyojieleza"
Kwani kazi ya kiongozi wa kiroho ni nini mkuu ?Hapana.Afanye kazi aliyosajili taasisi yake kufanya NO MORE,akianza kutoka nje tutamfungia leseni yake.Dola inamumulika kwa jicho kali.Dola iko imara
Mtamkamata nauliziaHana lolote Dola iko imara
Unapozungumzia wapenzi wa UBUYU ukae ukijua Sizonje ni mmojawao, so mind what you write here.Anajifanya nina vyeti vyake !!! mkinichokoza nitatoa !!! kumbe kajaza magazeti ya udaku kanisani ndio anawasomea hao wafuasi wake anaowaita watoto. Punde wale wate waliotuhumiwa na kushtakiwa na kesi za madawa watakuwa waumini wake kwenda kanisani kusikiliza UBUYU !! USHILAWADU
itakuwa live you tube,weka tu bundleDuu!! Naombea ibada ingekua live ITV.
Umemaliza?Siku hizi ameweka biblia pembeni analihubiri kwa kulisoma gazeti la mwanahalasi mwanzo mwisho, nafikiri toleo la wiki hii limeshatoka na kama kawaida lazima lizinduliwe kanisani kabla ya kusambaza ni hii imekuja baada ya boss wa gazeti hilo kutembelea kanisa hilo sasa ni kila jumapili lazima lisomwe
Kiongozi, andaa suti yako ili kesho uwahi kiti cha mbele kumsikiliza Gwajima akijibu mapigo. Kama unajiandaa kwenda kumsikiliza Gwajima akijibu mashambulizi ya wabaya wake, utashindwa kuchukua rushwa ili ukipigie kura chama fulani??Sisi hatujui. Ila tunajua kuwa wajinga ni wale wanaowapigia kura viongozi kisa wamepewa chumvi na kanga! Ukiwemo na wewe!
Asante kwa taarifa mkuu lakini umechelewa maana mbebwaji kachana mbelekoKanisa la Gwajima limekuwa kama uwanja wa taifa, mashabiki wa simba na yanga wanaenda kishabikia timu zao...
Baadhi ya sisi watanzania ni wajinga beyond repair!!
Hahahahahhahaaaa.....aisee....Kiongozi, andaa suti yako ili kesho uwahi kiti cha mbele kumsikiliza Gwajima akijibu mapigo. Kama unajiandaa kwenda kumsikiliza Gwajima akijibu mashambulizi ya wabaya wake, utashindwa kuchukua rushwa ili ukipigie kura chama fulani??
Only in Tanzania!!
Sawa ngoja msumeno ukiulazimisha kukata mbele tu badala ya kukata mbele na nyuma utakeshaHapana.Afanye kazi aliyosajili taasisi yake kufanya NO MORE,akianza kutoka nje tutamfungia leseni yake.Dola inamumulika kwa jicho kali.Dola iko imara