Gwajima apiga mkwara, kinanuka kesho

Gwajima apiga mkwara, kinanuka kesho

daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.................................................! hiyo kesho sikosi
 
Ulitaka akasome la utumwa!? Aaaaaah sorry, la uhuru!?
Anajifanya nina vyeti vyake !!! mkinichokoza nitatoa !!! kumbe kajaza magazeti ya udaku kanisani ndio anawasomea hao wafuasi wake anaowaita watoto. Punde wale wate waliotuhumiwa na kushtakiwa na kesi za madawa watakuwa waumini wake kwenda kanisani kusikiliza UBUYU !! USHILAWADU
 
Hapana.Afanye kazi aliyosajili taasisi yake kufanya NO MORE,akianza kutoka nje tutamfungia leseni yake.Dola inamumulika kwa jicho kali.Dola iko imara
Kwani kazi ya kiongozi wa kiroho ni nini mkuu ?
 
Anajifanya nina vyeti vyake !!! mkinichokoza nitatoa !!! kumbe kajaza magazeti ya udaku kanisani ndio anawasomea hao wafuasi wake anaowaita watoto. Punde wale wate waliotuhumiwa na kushtakiwa na kesi za madawa watakuwa waumini wake kwenda kanisani kusikiliza UBUYU !! USHILAWADU
Unapozungumzia wapenzi wa UBUYU ukae ukijua Sizonje ni mmojawao, so mind what you write here.
 
Siku hizi ameweka biblia pembeni analihubiri kwa kulisoma gazeti la mwanahalasi mwanzo mwisho, nafikiri toleo la wiki hii limeshatoka na kama kawaida lazima lizinduliwe kanisani kabla ya kusambaza ni hii imekuja baada ya boss wa gazeti hilo kutembelea kanisa hilo sasa ni kila jumapili lazima lisomwe
Umemaliza?
 
Sisi hatujui. Ila tunajua kuwa wajinga ni wale wanaowapigia kura viongozi kisa wamepewa chumvi na kanga! Ukiwemo na wewe!
Kiongozi, andaa suti yako ili kesho uwahi kiti cha mbele kumsikiliza Gwajima akijibu mapigo. Kama unajiandaa kwenda kumsikiliza Gwajima akijibu mashambulizi ya wabaya wake, utashindwa kuchukua rushwa ili ukipigie kura chama fulani??

Only in Tanzania!!
 
Kiongozi, andaa suti yako ili kesho uwahi kiti cha mbele kumsikiliza Gwajima akijibu mapigo. Kama unajiandaa kwenda kumsikiliza Gwajima akijibu mashambulizi ya wabaya wake, utashindwa kuchukua rushwa ili ukipigie kura chama fulani??

Only in Tanzania!!
Hahahahahhahaaaa.....aisee....
 
Hapana.Afanye kazi aliyosajili taasisi yake kufanya NO MORE,akianza kutoka nje tutamfungia leseni yake.Dola inamumulika kwa jicho kali.Dola iko imara
Sawa ngoja msumeno ukiulazimisha kukata mbele tu badala ya kukata mbele na nyuma utakesha
 
Back
Top Bottom