Uchaguzi 2020 Gwajima, dharau hizi hutafika popote

Una haki ya kuwa na mtazamo lakini ujue tumezungukwa na nchi zenye mahakama hhizo na athari uzisemazo hatuzioni
 
Sisi wana Kawe tutampa Gwajima tumemchoka huyo Mdee anawaibisha wanakawe.....!! Wewe endelea na Mdee!!
 
Ina maana ninyi mnaotutaadharisha mnafikiri sisi wana Kawe hatuna akili? Maana kuhofia kuwa tunaweza tukampa Gwajima kura ni kututukana kabisa. Iko wazi gwajima hawezi kuchaguliwa na watu wanaojielewa.
Naunga mkono hoja mimi ni mwanakawe pia na sidhani kama kuna mwana kawe atampa kura sio Gwajima tu hata mtu yeyote
 
Ulivyoandika naona kama unajua kiswahili lakini maantiki mbona haiji? Bi Kidude kadhalilishwa huko aliko lakini ni mrembo gani kadhalilishwa kwa kufananishwa na Gwajiboy? Kwa namna ulivyoandika unaonekana ni msomi kwahiyo utakuwa unajua kuwa neno mshenzi au kishenzi kama ulivyoitumia sio tusi kabisaa
 
Unamzungumzia gwajima Mzee wa porn movies,anawadhalilisha wanawake,anawafanya huku akichukua video,yule ni shetani wa ngono hata usihangaike naye.
 
Asiyekujua uongo wako humu ni Nani? Jana nilikwambia tuwekee details za utafiti kuhusu huyo anayejiita KICHAA kushinda kwa 89% utafiti ulifanyiki lini na wapi na ukubwa wa sample ulikuwa upi? Bado unang’aa macho kwa kuwa hakuna hizo details.

Tulete picha?
 
Mimi ndio sijaelewa au mtoa post ndio hajaelewa? Kwa sifa zote hizi ulizozitaja za Bi. Kidude, huyo aliyefananishwa naye si ndio kapewa sifa hizo? Sasa hapo ni kudhalilishwa au kukwezwa?
 
Kama anaakili nyingi afuate nilichomuambia.

Kijembe kikikutwa kwa mtu kisipige mtu asiyehusika
Hivi mnamuongelea yule "MREMBO" tuliyeambiwa kapelekwa na CCM kwa "JIKEDUME" wa Kawe? πŸ˜‚πŸ˜‚ Mkuki kwa nguruwe....
 
Hivi Gwajima na "mtukufu" Kibwetere aliyewaua waamini wake pale Uganda kwa kuwapika unawatofautishaje? He is barbaric and a pure fula pygmy!He has to go to hell as well! Down with these fake pastors! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mimi ndio sijaelewa au mtoa post ndio hajaelewa? Kwa sifa zote hizi ulizozitaja za Bi. Kidude, huyo aliyefananishwa naye si ndio kapewa sifa hizo? Sasa hapo ni kudhalilishwa au kukwezwa?


Huwezi ukaelewa Mkuu kama hufuatilii haya mambo.

Aliyetuma kijembe kaelewa na ndio maana kaomba msamaha, kwa wafuasi wa bibi Kidude.

Kasome maana ya Kijembe, Kebehi na Kejeli, utaelewa.
 

Huna ujuacho kwa habari ya vijembe kwenye siasa, naomba nisikuelimishe.

Gwajima mwenyewe kaomba radhi wewe unakalia chuki hapo.

Sijakataa Gwajima kumkejeli au kumkebehi, au kumpa kijembe Halima Mdee, ila amemkejeli hasimu wake kwakutumia udhaifu wa mtu mwingine, na hilo ndilo kosa alilofanya, wewe huelewi wapi. Gwajima angesema "Yule Bibi Kizee" Au "ajuza" au Nomino yoyote ya Jumla wala isingezua mgogoro. Sasa yeye kazua mgogoro kwa kuingiza nomino ya pekee yaani mtu mahususi "Bibi Kidude" ambaye watu wanamfahamu, anandugu, na anawafuasi licha ya kuwa ni marehemu. Bado hujaelewa mantiki ya uzi wangu.

Ni sawa mtu akuambie kuwa yule anasura mbaya kama "Remmy ongala" Hapo utakuwa umepiga watu wawili kwa wakati mmoja, yaani huyo unayemtania au kumkebehi na Remmy mwenyewe. Hujaelewa tuu?

Kuhusu "Nickname"
Hujui Nickname pia ni utambulisho wa Mtu,
Mtu akisema Diamond Platnum, Nay wa Mitego, Sugu, Profesa Jay hao ni watu mkuu,

Wewe bila Bibi Kidude, unafikiri neno hilo ungelisikia wapi?

Hakuna mwenye chuki na huyo Gwajima, ila mambo yake ya hovyo ndio tutayapinga. Mimi sina chama, wala sina mpango wa kuwa na chama. Napinga na kuunga mkono yeyote anayekosea na anayefanya vyema
 
Usuhamishe goli wewe unajua na kila mmoja anajua anafahamu mashambulizi yalikuwa yakiekezwa wapi.


Siwezi hamisha Goli Mkuu.

Ipo hivi, unapotuma kijembe, kejeli au kebehi kwa mtu unapaswa uwe mwerevu.

Ngoja nikupe mfano ufuatao;
Wahusika, Taikon, Geradi, Rashidi na wasikilizaji wengine.

Mazungumzo yalikuwa hivi;

Taikon: Huna Lolote Gerald
Gerald: Wewe lako lipo wapi, au hicho kipara chako ndio jipyaa(Unacheka)
Wasikilizaji na Rashidi: (wote wanamshangilia Gerald)
Taikon: Basi unadhani umeshinda siyo, kipara cha pesa hiki. Wewe vizinga tuu!
Gerald: Pesa madafu kumbe ni pesa.
Taikon: Muone ndio maana kafupi kama Rashidi! (Ninacheka)
Wasikilizaji: (Wote wananishangilia)
Gerald: (Kimya)
Rashidi: (Kimya akiwa kakunja uso)

Kupitia mazungumzo hayo nafikiri umeelewa nilichokuwa nazungumzia.
Kama hujaelewa, nikusaidie kuelewa kwa maswali haya;

1. Unafikiri kwa nini wasikilizaji walikuwa wanashangilia pande zote mbili yaani upande wa Gerald na Taikon kila mmoja alipotupa kijembe kwa mwenzake?

2. Unafikiri kwa nini Rashidi mara ya kwanza alicheka Pale Taikon alipotupiwa kijembe?
3. Unafikiri kwa nini Rashidi alikaa kimya bila kucheka uso wake akiwa ameukunja pale Taikon alipomtupia kijembe Gerald?

Bado hujaelewa?
 
Gwajima ana akili nyingi usije ukamfananisha na huyo mwanamke anayeishi kihuni

Bi kidude anayezungumziwa hapa ni marehemu na alikuwa na heshima kuwa baracna visiwani, hata nje ya nchi. Si sahihi jina lake kutumika atumiavyo Gwaj!
 
Acha ungosha ngosha, mimi ni mkristo nimeifuatilia mahakama ya kadhi katika nchi zetu Zanzibar na Kenya hayo usemayo wala hamna, labda aujui kuwa Kenya na Zanzibar Kuna kadhi hiyo mahakama inawahusu waislam tu,usipotoshe.
 
Acha ungosha ngosha, mimi ni mkristo nimeifuatilia mahakama ya kadhi katika nchi zetu Zanzibar na Kenya hayo usemayo wala hamna, labda aujui kuwa Kenya na Zanzibar Kuna kadhi hiyo mahakama inawahusu waislam tu,usipotoshe.
Kinyume cha ungosha ni u-kike

Acha ukike kike,
Hakuna japo linaloihusu jamii flani tu ndani ya jamii!

Usi-judge jina la mtu ndio maana unajiita Akili lakini ulivyojibu inaonesha kabisa bichwa ni empty set.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…