Uchaguzi 2020 Gwajima Fursa hii hapa ya kupata kura nje nje ila usitoe rushwa ni Boko Basihaya

Uchaguzi 2020 Gwajima Fursa hii hapa ya kupata kura nje nje ila usitoe rushwa ni Boko Basihaya

Ningekuwa mm ndiyo mshauri wa Halima ningemshauri mambo ya siasa ayaache tu maana aliaminiwa na wananchi wa Kawe kwa miaka 10 lakini hakuna alichokifanya.
Ulitaka afanye nini na boss wenu kazuia maendeleo kwa wasiompa kura??
 
Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.

Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.

Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.

Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.

Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.

Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Kwani huko hakuna sunday school?
Zile Porn video za Gwajima bado hawajaziona?
 
Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.

Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.

Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.

Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.

Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.

Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Mtetezi na kiongozi sahihi wa Kawe ni Gwajima peke yake kwa sababu ni anapenda haki, anapenda maendeleo pia ni mchapakazi
 
Hili kupata maendeleo yasiyo na konakona, kufanikisha kuwa na kauli moja jimboni na kuhakikisha mambo yanatiririka kwa uzuri zaidi basi ndugu Gwajima anafaa sana kwenye jimbo la Kawe. Kuna ujanja ujanja Halima anafanya lakini tutaweka wazi mpango mzima ndani ya muda mfupi
 
Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.

Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.

Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.

Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.

Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.

Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Tunakwenda na Gwajima mazima

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Mtetezi na kiongozi sahihi wa Kawe ni Gwajima peke yake kwa sababu ni anapenda haki, anapenda maendeleo pia ni mchapakazi
👇
Hayo unayajua wewe, mimi nimeandika kile nilichoshuhudia toka kwa wananchi, so kama ni mtetezi na anapenda maendeleo basi aende eneo hilo siyo kumpa kiki zisizo muhusu.
☝️
Tunakwenda na Gwajima mazima
 
Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.

Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.

Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.

Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.

Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.

Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Gwajima ndiyo chaguo letu wana Kawe yule bibi atawezea wapi mziki wa Gwajima?
Ningekuwa mm ndiyo mshauri wa Halima ningemshauri mambo ya siasa ayaache tu maana aliaminiwa na wananchi wa Kawe kwa miaka 10 lakini hakuna alichokifanya.
Mtetezi wa Kawe amepatika cha muhimu ifikapo October 28 tumuonyeshe yule bibi kama tumemchoka kwa kumpa Gwajima kura nyingi na za kishindo.
tunahitaji maendeleo Halima kashindwa katika hili, kawe inazidiwa mpaka na buza wana barabara za lami mitaani na taa za barabarani sisi hatuna.
Uvccm mnafurahisha kweli, mmoja wenu anawahi kutoa post halafu anawaalika wenzake mje kumsapoti
 
Uvccm mnafurahisha kweli, mmoja wenu anawahi kutoa post halafu anawaalika wenzake mje kumsapoti
Dogo, laiti ungekuwa unanifaham usingethubutu kuniunganisha na vijakazi wako hao, pole sana.
 
Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.

Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.

Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.

Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.

Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.

Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
shida iko hapa....
 

Attachments

  • 2537647_Gwajima.mp4
    300.9 KB
Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.

Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.

Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.

Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.

Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.

Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Hivi kweli kuna mbunge aliwahi kaa bungeni zaidi ya miaka 20? hata ufanye mazuri kiasi gani utachokwa tuu.
 
kumbe Halima alikalia kufanya harakati akasahau jimbo basi mlipeni ujira wake akajiajiri si ndo huwa wanashauri hivyo.
 
Kikwete mwenyewe alichemsha akabaki kuchimba mtaro dawasco kuelekea ununio.
KAWE TUNASTAHILI KUTUNZA HESHIMA YETU HESHIMA HALIMA MDEE ANATOSHA
 
Hayo yoote wananchi wenye matatizo hawayajui, mtu anapatwa na matatizo wewe unamletea hadithi, hatakuelewa.
Sisi kabla ya yote tunataka
Upendo
Amani
Mshikamano
Bila kujali
Dini
Kabila
Rangi
Jinsia wala
Itikadi
Hatutaki mtu anaetukana au anaetaka kutugawa akome tapeli gwajima
 
Back
Top Bottom