bulicheka 4
JF-Expert Member
- Mar 22, 2020
- 915
- 1,019
Kanuua watu kawajaza mitandaoniHalima ni jembe wana Kawe msifanye kosa kumweka huyo msanii. Kanisa limemshinda ameamua kugeukia siasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanuua watu kawajaza mitandaoniHalima ni jembe wana Kawe msifanye kosa kumweka huyo msanii. Kanisa limemshinda ameamua kugeukia siasa.
Ulitaka afanye nini na boss wenu kazuia maendeleo kwa wasiompa kura??Ningekuwa mm ndiyo mshauri wa Halima ningemshauri mambo ya siasa ayaache tu maana aliaminiwa na wananchi wa Kawe kwa miaka 10 lakini hakuna alichokifanya.
Kwani huko hakuna sunday school?Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.
Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.
Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.
Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.
Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.
Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Suala sio kufanya nini kwenye familia. Sisi wananchi wakawe tumemuamini na akatuahidi atafanya mabadiliko shida inapotekea ni kwamba hata zile changamoto ndogo ndogo hajafanyaWewe umefanya nini kwenye familia yako? Halima mita no tena
Mtetezi na kiongozi sahihi wa Kawe ni Gwajima peke yake kwa sababu ni anapenda haki, anapenda maendeleo pia ni mchapakaziKunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.
Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.
Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.
Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.
Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.
Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Tunakwenda na Gwajima mazimaKunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.
Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.
Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.
Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.
Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.
Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Gwajima hata angeweka misukule yake ipige kura haiwezi kumpigia kura.Kawe imchague Gwajima??? Kweli?? Tutachekwa na dunia nzima!
👇Mtetezi na kiongozi sahihi wa Kawe ni Gwajima peke yake kwa sababu ni anapenda haki, anapenda maendeleo pia ni mchapakazi
Tunakwenda na Gwajima mazima
Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.
Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.
Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.
Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.
Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.
Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Gwajima ndiyo chaguo letu wana Kawe yule bibi atawezea wapi mziki wa Gwajima?
Ningekuwa mm ndiyo mshauri wa Halima ningemshauri mambo ya siasa ayaache tu maana aliaminiwa na wananchi wa Kawe kwa miaka 10 lakini hakuna alichokifanya.
Mtetezi wa Kawe amepatika cha muhimu ifikapo October 28 tumuonyeshe yule bibi kama tumemchoka kwa kumpa Gwajima kura nyingi na za kishindo.
Uvccm mnafurahisha kweli, mmoja wenu anawahi kutoa post halafu anawaalika wenzake mje kumsapotitunahitaji maendeleo Halima kashindwa katika hili, kawe inazidiwa mpaka na buza wana barabara za lami mitaani na taa za barabarani sisi hatuna.
Utakuwa miongoni mwa kondoo wake weweGwajima ndiyo chaguo letu wana Kawe yule bibi atawezea wapi mziki wa Gwajima?
Itakuwa ni dhambi mpaka kwa Mungu wa kweli, utamchaguaje mcheza movie?!Kawe imchague Gwajima??? Kweli?? Tutachekwa na dunia nzima!
shida iko hapa....Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.
Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.
Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.
Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.
Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.
Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Hivi kweli kuna mbunge aliwahi kaa bungeni zaidi ya miaka 20? hata ufanye mazuri kiasi gani utachokwa tuu.Kunapotokea jambo linalohitaji kiongozi kujitoa au kushirikiana na wananchi ni pale panapokuwa na ushirikishwaji wa aina yeyote ile.
Kwenye kipindi kama hiki wanasiasa wengi wanakuwa na hofu kujitoa kwa wananchi hasa upande wa kuchangia maendeleo katika eneo husika, mfano Halima mdee hajawahi kufika au kukaribia sehemu inayoitwa Boko Basihaya.
Boko Basihaya ipo jijini Dar Es Salaam njia ielekeayo Bagamoyo, wakazi wa eneo hili wanakumbwa na mafuriko yanayosababishwa na maji yanayotokea maeneo tofauti kama vilima vya wazo nk.
Taarifa za mapema wiki hii wananchi wa eneo hilo wanajichangisha ili kufanikisha uchimbaji wa njia ya maji (mtaro) utakaopeleka maji kwenye mto bunju na mengine kwenye karavati lililoidhinishwa kujengwa na Kikwete enzi akiwa rais.
Mgombea wa CCM ndg Gwajima wananchi hawajakuharika sababu inaweza kuwa ni rushwa au ushawishi ila jaribu kuwatembelea na kufanya mkutano eneo hilo usikie wananchi watakachokwambia.
Binti yangu Halima hapa hata usipoenda ni sawa maana wananchi wanadai wanakufaham japo ulikuwa mbunge wao ila hujawahi kukanyaga eneo hilo.
Sisi kabla ya yote tunatakaHayo yoote wananchi wenye matatizo hawayajui, mtu anapatwa na matatizo wewe unamletea hadithi, hatakuelewa.