Nipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.
Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.
Gwajima huyu ndie alietoa clip ya matusi kwa Askofu Pengo hivi unaanzaje kumtukana Pengo mtu mwenye kuheshimika na dini zote, eti ishia mzee, nenda zako mzee, umekula maharage ya watu umekuwa km mtt mdogo unaevishwa pampers leo hii unajifanya mwema, Gwajima haufai.
Huyu Gwajima aliwaita waislamu mashetani sasa huyu hawezi kuwa kiongozi kuwa kiongozi.
Hana sifa huyu.
Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.
Gwajima huyu ndie alietoa clip ya matusi kwa Askofu Pengo hivi unaanzaje kumtukana Pengo mtu mwenye kuheshimika na dini zote, eti ishia mzee, nenda zako mzee, umekula maharage ya watu umekuwa km mtt mdogo unaevishwa pampers leo hii unajifanya mwema, Gwajima haufai.
Huyu Gwajima aliwaita waislamu mashetani sasa huyu hawezi kuwa kiongozi kuwa kiongozi.
Hana sifa huyu.