Uchaguzi 2020 Gwajima hafai kuwa mbunge, bora kupigia kura kinyago

Uchaguzi 2020 Gwajima hafai kuwa mbunge, bora kupigia kura kinyago

Kwanza alisema yeye ni Kichaa so can see contradictions kibao kwako
Yan kusema ule ukweli Mungu anajua kabsa malengo ya chadema sio mazuri hvyo kamwe hawezi kuruhusu mshinde na hatamshinda ila njaa tu mnaweza shinda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yan kusema ule ukweli Mungu anajua kabsa malengo ya chadema sio mazuri hvyo kamwe hawezi kuruhusu mshinde na hatamshinda ila njaa tu mnaweza shinda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
uchaguzi huwu atakufa beki au kipa
 
uchaguzi huwu atakufa beki au kipa
Mtakufa nyie hivi kipi kinawapa kiburi Chadema kuwa mtashinda huyo lisu hajakuta hata nusu ya Lowasa alafu eti mnamwita rais hamna hata aibu yule kisasi chake akilipe labda akiwa kuzimu na Lucifer ila sio akiwa Rais hawezi Ngoooooo kamwee
 
Nipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.

Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.

Gwajima huyu ndie alietoa clip ya matusi kwa Askofu Pengo hivi unaanzaje kumtukana Pengo mtu mwenye kuheshimika na dini zote, eti ishia mzee, nenda zako mzee, umekula maharage ya watu umekuwa km mtt mdogo unaevishwa pampers leo hii unajifanya mwema, Gwajima haufai.

Huyu Gwajima aliwaita waislamu mashetani sasa huyu hawezi kuwa kiongozi kuwa kiongozi.

Hana sifa huyu.
Acha kujitoa ufahamu Wana Kawe tunamhitaji kuliko Mdee
 
Nipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.

Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.

Gwajima huyu ndie alietoa clip ya matusi kwa Askofu Pengo hivi unaanzaje kumtukana Pengo mtu mwenye kuheshimika na dini zote, eti ishia mzee, nenda zako mzee, umekula maharage ya watu umekuwa km mtt mdogo unaevishwa pampers leo hii unajifanya mwema, Gwajima haufai.

Huyu Gwajima aliwaita waislamu mashetani sasa huyu hawezi kuwa kiongozi kuwa kiongozi.

Hana sifa huyu.
Nenda kampigie Robert
Amsterdam utakuwa umefanya sahihi kabisa
 
Mtakufa nyie hivi kipi kinawapa kiburi Chadema kuwa mtashinda huyo lisu hajakuta hata nusu ya Lowasa alafu eti mnamwita rais hamna hata aibu yule kisasi chake akilipe labda akiwa kuzimu na Lucifer ila sio akiwa Rais hawezi Ngoooooo kamwee
media houses zote ,Malory,Wasanii wote nchini kutoa burudani bure,waganga wote wa jadi nchini munawatumia yeye one man sera tuu lakani watu wanafurika kumsikiliza hata wewe na roho yako nishahidi.
 
Hivi kuna watu wanamaneno machufu na mdomo mchafu kama Chadema hawamuheshimu hata Rais wao ni wazi kabsa Mtu akishakuwa Rais lazima Heshima Iwepo lakin nyie Chadema mnadharau hata utendaji kazi wake
Alafu mnajiona Wema na watakatifu na wakwel kumbe hamna maana kabsa watu ambao n hatari sana kwa nchi yetu ni Chadema kwanzia ngazi zote toka Rais had madiwani na mwaka huu mnakwenda kupotea Daima
Mkuu umeelewa kinachoongelewa lakini? Kuwa Mataga siyo justification ya kuwa mjinga, kumbuka hilo

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Gwajima anaongea na kila ambacho sio sahihi lazima aseme na hvyo ndyo kiongozi anatakiwa awee so maneno yako ya uchochezi hayawezk kutuzuia sisi tusimchague Gwajima hata mseme nin Gwajima pekee ndiye anayefaaa kuwa mbunge wa kawe
Mkuu huyo Gwajiboy aliwahi sema nini na akawa sahihi?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Nipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.

Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.

Gwajima huyu ndie alietoa clip ya matusi kwa Askofu Pengo hivi unaanzaje kumtukana Pengo mtu mwenye kuheshimika na dini zote, eti ishia mzee, nenda zako mzee, umekula maharage ya watu umekuwa km mtt mdogo unaevishwa pampers leo hii unajifanya mwema, Gwajima haufai.

Huyu Gwajima aliwaita waislamu mashetani sasa huyu hawezi kuwa kiongozi kuwa kiongozi.

Hana sifa huyu.
Zamani CCM ilikuwa inawapika watu wake wanaiva. Siku hizi hii CCM mpya ni okota okota.
 
Kama wajumbe walimkataa akachukuliwa mtoto wa dada ambaye hajui hata kuomba kura achilia mbali kujulikana, acha tujikoshe kwa gwajima ili kale kaharufu ka kupendelea wapwa kafifie kidogo...
 
Gwajima hafai kabisa inasikitisha magu anampendekeza mtu kama huyu mchafu kabisa.
 
Nipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.

Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.

Gwajima huyu ndie alietoa clip ya matusi kwa Askofu Pengo hivi unaanzaje kumtukana Pengo mtu mwenye kuheshimika na dini zote, eti ishia mzee, nenda zako mzee, umekula maharage ya watu umekuwa km mtt mdogo unaevishwa pampers leo hii unajifanya mwema, Gwajima haufai.

Huyu Gwajima aliwaita waislamu mashetani sasa huyu hawezi kuwa kiongozi kuwa kiongozi.

Hana sifa huyu.

Mtaji Wa CCM ni UJinga wa Wa Tanzania.
 
Nipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.

Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.

Gwajima huyu ndie alietoa clip ya matusi kwa Askofu Pengo hivi unaanzaje kumtukana Pengo mtu mwenye kuheshimika na dini zote, eti ishia mzee, nenda zako mzee, umekula maharage ya watu umekuwa km mtt mdogo unaevishwa pampers leo hii unajifanya mwema, Gwajima haufai.

Huyu Gwajima aliwaita waislamu mashetani sasa huyu hawezi kuwa kiongozi kuwa kiongozi.

Hana sifa huyu.
MZEE WA UNOO
 
Back
Top Bottom