Uchaguzi 2020 Gwajima hafai kuwa mbunge, bora kupigia kura kinyago

Kweri kabisa amechanganya jamii kishenzi mara akasema yeye ni Yesu anamrudisha Chifupa,mara cheo chake cha kiroho ni zaidi na cheo cha Magufuli mara ataleta tren and reli kwa keshi mwisho akawa porn star yani sheeeedaa!!!!
 
Mkikosaga ya kuongea huwa mnaropoka ropoka hovyo kama watu wasio na akili

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Gwajima anaongea na kila ambacho sio sahihi lazima aseme na hvyo ndyo kiongozi anatakiwa awee so maneno yako ya uchochezi hayawezk kutuzuia sisi tusimchague Gwajima hata mseme nin Gwajima pekee ndiye anayefaaa kuwa mbunge wa kawe
 
Wewe mwenyewe mbona mzinzi nyambafu wewe unaongea hvyo utanzan mtakatifu kumbe huna lolote mbwa wewe
QUOTE]mboma mbona povu hivo bila shaka msg imefika ,hata kama mimi mzinzi sijamfikia huyo mto....ba waumini
 
Kunawatu wanastupid mind kwa kuwa very selfish yani kwasababu ya ushabiki wake wavyama na kutojua kilichojiri na ushabiki feki wanachoche kumchagua MTU ambaye miaka 15 hajaleta maendekeo achani kujali masilahi yenu wabinafsi.

Chukua na hiyo apo chini upate majibu na utulizane.
 
Wewe mwenyewe mbona mzinzi nyambafu wewe unaongea hvyo utanzan mtakatifu kumbe huna lolote mbwa wewe
mbona povu hivo bila shaka msg imefika ,hata kama mimi mzinzi sijamfikia huyo mto....ba waumini
 
Kweri kabisa amechanganya jamii kishenzi mara akasema yeye ni Yesu anamrudisha Chifupa,mara cheo chake cha kiroho ni zaidi na cheo cha Magufuli mara ataleta tren and reli kwa keshi mwisho akawa porn star yani sheeeedaa!!!!
Mwaka huu mbona mtaisoma namba maana mambo ndo kwanza yanaanza yan kila Mahal mmekabwaaa hamna njia ya kupita [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]CCM OYEEEEEE tumedhamiria na tunawezaaa
 
Mwaka huu mbona mtaisoma namba maana mambo ndo kwanza yanaanza yan kila Mahal mmekabwaaa hamna njia ya kupita [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]CCM OYEEEEEE tumedhamiria na tunawezaaa
mutandelea kukariri slogan za kipumbavu this month hakuna sujuwi mungu anajuwa tulishinda hapana Lissu tayari amechemsha damu letu kama noma iwe noma ....
 
Kweli hujielewi wewe
 
Gwajima anafaa kuwa mbunge wa Kawe na anaweza kutuongoza wananchi wa Kawe
 
Nyan haon kundule acha usenge wewe hajalala na mama yako mpaka umseme vibaya
ingekuwa enzi za manabii wa agano kale angepigwa na radi toka mbinguni huyo mzinzi,mnavyomtetea naona akiwaambia anawatatua kwanza marinda ndo mwingine sala ya asubuhi mtakubali mana siyo kwa hayo mahaba
 
mutandelea kukariri slogan za kipumbavu this month hakuna sujuwi mungu anajuwa tulishinda hapana Lissu tayari amechemsha damu letu kama noma iwe noma ....
Hahaha ufupi n kwamba kushinda nyie labda mshinde njaa lakini sio kura za wananchi hatuwezi kuchagua vichaaa watuongoze sisi never na tunajua mmeweka wazi kuwa mtaleta mapinduzi nasema hivi mtakufa nyie wa watoto wenu na familia zenu
 
ingekuwa enzi za manabii wa agano kale angepigwa na radi toka mbinguni huyo mzinzi,mnavyomtetea naona akiwaambia anawatatua kwanza marinda ndo mwingine sala ya asubuhi mtakubali mana siyo kwa hayo mahaba
Hujui kitu ni bora utulie tu huwezi muhukumu mtu ambaye hajawahi hata kukutongoza so acha usenge we jamaa
 
Hujui kitu ni bora utulie tu huwezi muhukumu mtu ambaye hajawahi hata kukutongoza so acha usenge we jamaa
matendo yake yanaonyesha ,wana kawe tutahakikisha hakuna mchungaji mzinzi atakayekanyaga bungeni ,wazizi na waongo tukae nao mbali
 
Hahaha ufupi n kwamba kushinda nyie labda mshinde njaa lakini sio kura za wananchi hatuwezi kuchagua vichaaa watuongoze sisi never na tunajua mmeweka wazi kuwa mtaleta mapinduzi nasema hivi mtakufa nyie wa watoto wenu na familia zenu
Kwanza alisema yeye ni Kichaa so can see contradictions kibao kwako
 
Umesema wewe lakini sisi wanakawe msimamo wetu uko palepale Gwajima ndiye mbunge tunayemuitaji kwenye jimbo letu.

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
matendo yake yanaonyesha ,wana kawe tutahakikisha hakuna mchungaji mzinzi atakayekanyaga bungeni ,wazizi na waongo tukae nao mbali
Aaaah wapi wala haisaidii najua ni chuki zako tu na hazitafua dafu Gwajima lazima ashinde penda usipende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…