Nondo mla Watu
Senior Member
- Sep 28, 2020
- 175
- 29
Yan kusema ule ukweli Mungu anajua kabsa malengo ya chadema sio mazuri hvyo kamwe hawezi kuruhusu mshinde na hatamshinda ila njaa tu mnaweza shinda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwanza alisema yeye ni Kichaa so can see contradictions kibao kwako
Ccm ni chama cha mashetani kwa kweliNAONA NGUVU NYINGI INATUMIKA KUPAMBANA NA GWAJIMA,ILA CCM WAKIAMUA LAO HUWA WAMEAMUA
MFANO MZURI NI JIMBO LA TARIME 2010 KIKWETE ALIAPA LITARUDI CCM KWA HERI AMA SHARI NA LIKARUDI KWELI
Mkuu ulitaka Mdee afanye nini ambacho hajafanya? Be honestKabisa Halima hajatufanyia chochote kazi kutupigia kelele tu bira tuone upepo mwingine
Chadema ndo chama cha kishetan tena kinaongozwa na Lucifer mwenyewe
uchaguzi huwu atakufa beki au kipaYan kusema ule ukweli Mungu anajua kabsa malengo ya chadema sio mazuri hvyo kamwe hawezi kuruhusu mshinde na hatamshinda ila njaa tu mnaweza shinda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtakufa nyie hivi kipi kinawapa kiburi Chadema kuwa mtashinda huyo lisu hajakuta hata nusu ya Lowasa alafu eti mnamwita rais hamna hata aibu yule kisasi chake akilipe labda akiwa kuzimu na Lucifer ila sio akiwa Rais hawezi Ngoooooo kamweeuchaguzi huwu atakufa beki au kipa
Acha kujitoa ufahamu Wana Kawe tunamhitaji kuliko MdeeNipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.
Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.
Gwajima huyu ndie alietoa clip ya matusi kwa Askofu Pengo hivi unaanzaje kumtukana Pengo mtu mwenye kuheshimika na dini zote, eti ishia mzee, nenda zako mzee, umekula maharage ya watu umekuwa km mtt mdogo unaevishwa pampers leo hii unajifanya mwema, Gwajima haufai.
Huyu Gwajima aliwaita waislamu mashetani sasa huyu hawezi kuwa kiongozi kuwa kiongozi.
Hana sifa huyu.
Nenda kampigie RobertNipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.
Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.
Gwajima huyu ndie alietoa clip ya matusi kwa Askofu Pengo hivi unaanzaje kumtukana Pengo mtu mwenye kuheshimika na dini zote, eti ishia mzee, nenda zako mzee, umekula maharage ya watu umekuwa km mtt mdogo unaevishwa pampers leo hii unajifanya mwema, Gwajima haufai.
Huyu Gwajima aliwaita waislamu mashetani sasa huyu hawezi kuwa kiongozi kuwa kiongozi.
Hana sifa huyu.
media houses zote ,Malory,Wasanii wote nchini kutoa burudani bure,waganga wote wa jadi nchini munawatumia yeye one man sera tuu lakani watu wanafurika kumsikiliza hata wewe na roho yako nishahidi.Mtakufa nyie hivi kipi kinawapa kiburi Chadema kuwa mtashinda huyo lisu hajakuta hata nusu ya Lowasa alafu eti mnamwita rais hamna hata aibu yule kisasi chake akilipe labda akiwa kuzimu na Lucifer ila sio akiwa Rais hawezi Ngoooooo kamwee
Mkuu umeelewa kinachoongelewa lakini? Kuwa Mataga siyo justification ya kuwa mjinga, kumbuka hiloHivi kuna watu wanamaneno machufu na mdomo mchafu kama Chadema hawamuheshimu hata Rais wao ni wazi kabsa Mtu akishakuwa Rais lazima Heshima Iwepo lakin nyie Chadema mnadharau hata utendaji kazi wake
Alafu mnajiona Wema na watakatifu na wakwel kumbe hamna maana kabsa watu ambao n hatari sana kwa nchi yetu ni Chadema kwanzia ngazi zote toka Rais had madiwani na mwaka huu mnakwenda kupotea Daima
Mkuu huyo Gwajiboy aliwahi sema nini na akawa sahihi?Gwajima anaongea na kila ambacho sio sahihi lazima aseme na hvyo ndyo kiongozi anatakiwa awee so maneno yako ya uchochezi hayawezk kutuzuia sisi tusimchague Gwajima hata mseme nin Gwajima pekee ndiye anayefaaa kuwa mbunge wa kawe
Zamani CCM ilikuwa inawapika watu wake wanaiva. Siku hizi hii CCM mpya ni okota okota.Nipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.
Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.
Gwajima huyu ndie alietoa clip ya matusi kwa Askofu Pengo hivi unaanzaje kumtukana Pengo mtu mwenye kuheshimika na dini zote, eti ishia mzee, nenda zako mzee, umekula maharage ya watu umekuwa km mtt mdogo unaevishwa pampers leo hii unajifanya mwema, Gwajima haufai.
Huyu Gwajima aliwaita waislamu mashetani sasa huyu hawezi kuwa kiongozi kuwa kiongozi.
Hana sifa huyu.
Mkuu chama kinachotaka kuua Raia wake unakifananisha na chadema?Chadema ndo chama cha kishetan tena kinaongozwa na Lucifer mwenyewe
Mkuu amini nakuambia ccm ni mashetani kabisaChadema ndo chama cha kishetan tena kinaongozwa na Lucifer mwenyewe
Unachonga utafikiri unatoka jimbo la Kawe!Unadhani haya maneno yako ya upuuzi yatatufanya tuache kumchagua Gwajima, yaani unatushawishi sisi wadau kuwa tumchague Halima ambaye hajafanya maendeleo yoyote.
Nipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.
Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.
Gwajima huyu ndie alietoa clip ya matusi kwa Askofu Pengo hivi unaanzaje kumtukana Pengo mtu mwenye kuheshimika na dini zote, eti ishia mzee, nenda zako mzee, umekula maharage ya watu umekuwa km mtt mdogo unaevishwa pampers leo hii unajifanya mwema, Gwajima haufai.
Huyu Gwajima aliwaita waislamu mashetani sasa huyu hawezi kuwa kiongozi kuwa kiongozi.
Hana sifa huyu.
MZEE WA UNOONipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine.
Gwajima amekuwa kiongozi mwenye mdomo anaeongea chochote kwa yeyote bila kupima.
Gwajima huyu ndie alietoa clip ya matusi kwa Askofu Pengo hivi unaanzaje kumtukana Pengo mtu mwenye kuheshimika na dini zote, eti ishia mzee, nenda zako mzee, umekula maharage ya watu umekuwa km mtt mdogo unaevishwa pampers leo hii unajifanya mwema, Gwajima haufai.
Huyu Gwajima aliwaita waislamu mashetani sasa huyu hawezi kuwa kiongozi kuwa kiongozi.
Hana sifa huyu.