Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Nakumbuka wakati kaitwa sentro mlienda kuimba kwaya pale nje ya sentro!Kwa haraka ukiangalia ile picha inayosambazwa utadhani ni Gwajima, lakini kumbukeni watu huwa wanafanana. Gwajima hana shingo pana kama ile, pua kubwa kama ile, kidevu kipana na hata macho yake siyo makubwa kama yale... MUDA UTASEMA.
Hebu weka picha zenye alignment inayofanana mkuu. Maana hapo bado kuna features zinaleta utata kutokana na alignment kuwa tofauti.Before make up & After Make up / Kwenye Ulimwengu wa Giza & Kwenye ulimwengu wa MwangaView attachment 1090845
Na bado Gwajima mwenyewe atakuja kuapa na kuapiza kuwa siyo yeye. Ataandaa stage na atakuwa anashangaliwa kila kitu anachosema hasa na kina mama. Lakini wenye akili zao wamshajua kuwa ni yeye.Naoana umekuja kujitetea
Yani hapo ndo ingekuwa poa zaidi, angetuambia mtumishi huyu, mzee wa mgegedo huyu. Mtumishi ana features hizi, huyu mwengine ana features hizi, hapo tungeelewa zaidi na sio porojo porojo za sokomokoAnza kwa kuchambua picha halisi na isiyo halisi. Tunataka evidence na sio porojo
Vilaza@workKwa haraka ukiangalia ile picha inayosambazwa utadhani ni Gwajima, lakini kumbukeni watu huwa wanafanana. Gwajima hana shingo pana kama ile, pua kubwa kama ile, kidevu kipana na hata macho yake siyo makubwa kama yale... MUDA UTASEMA.
Askofu kapiga Style moja tuu....Kwa haraka ukiangalia ile picha inayosambazwa utadhani ni Gwajima, lakini kumbukeni watu huwa wanafanana. Gwajima hana shingo pana kama ile, pua kubwa kama ile, kidevu kipana na hata macho yake siyo makubwa kama yale... MUDA UTASEMA.