Gwajima hana pua kubwa kama ile, hana macho kama yale. Siyo Gwajima yule

Gwajima hana pua kubwa kama ile, hana macho kama yale. Siyo Gwajima yule

Sidhani kama kuna Mtanzania mbumbumbu atakaye amini ule uwongo wake siku ile alipoitisha press conference!

Ya kwamba eti hakuwa yeye kwenye ile clip huku akipiga mikwara yake mbuzi kwa msukuma mwenzake bashite, na mwisho wa siku kubakia tu mdogo kama pirton baada ya Watanzania wote kukubaliana alikuwa ni yeye mwenyewe.

Dk tatu tu jamaa anagugumia! Moja ya show mbovu kabisa kuwahi kuishuhudia xxvideos! 🙄
 
Kwa haraka ukiangalia ile picha inayosambazwa utadhani ni Gwajima, lakini kumbukeni watu huwa wanafanana. Gwajima hana shingo pana kama ile, pua kubwa kama ile, kidevu kipana na hata macho yake siyo makubwa kama yale... MUDA UTASEMA.
Unajua madhara ya front camera wewe?
 
"MKONO WA BAUNSA" 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 hakikwepi hiki KIKOMBE cha KUMTAFUNA Kondoo kwa KIFO CHA MENDE.
 
Back
Top Bottom