EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Hajawahi kushindwa katika vita vya kutunga tusubiri ALIAMSHE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha my ribsNasikia gwajima kasema ilikua kipindi ajaokoka
Utakua na mapepo ukimsikia tu yanaanza kukusumbua just like yule aliyetolewa mapepo na YesuHata kama sio yeye mimi nataka awe yeye au unasemaje kamanda?
Aliyezituma atafutwe simu yake ikaguliwe picha ya kumremodi mtu haiwezi kutokea hivyo, ni uzushi na roho mbaya, kupitia roho mbaya, madhara ya roho mbaya ni mbaya sana, tcra wafanye kazi yao
Sasa kurekodiwa hiyo tarehe kuna uhusiano gani na u fake. Kama tukio kalifanya hiyo tarehe video ikavuja mwaka huu. Mtapiga kelele lakini tukubari tu kuwa baba mchungaji kama binadamu kaangukaVideo ya kumchafua Askofu Gwajima inayosambaa mitandaoni imeshafahamika ni fake.
Watesi wake jipangeni upya.
Software iitwayo REALITY DEFENDER imewaumbua
Original video ilirekodiwa Alhamisi tarehe 15/11/2018 saa 2:49 usiku.
Ukweli utajulikana tu
picha nyingine kuna pazia bluu picha nyingne pazia jeupe.picha za edit hizo turudishieni mduda acheni upuuzi huo
Hivi kile kipande cha 705kb na kile chenye 16MB vimerekodiwa sehemu moja kweli.Au ndiyo vile watu tukiamua kubeba jambo.Kwa macho ya kawaida mimi naona ni venue tofauti kabisa na ni kitu ambacho kinaashiria kuwa "technology innovation" ndiyo imetumika kufanya "manipulation"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mwenyewe kakiri alifanya hayo ila kipindi hajaokoka we ni nani wa kusahihisha hilo?
Billie xipi bana mbona unaniangusha?Kwani alitombania juu ya mapazia au kitanda kilitandikwa mapazia?
Billie xipi bana mbona unaniangusha?
Kwa haraka ukiangalia ile picha inayosambazwa utadhani ni Gwajima, lakini kumbukeni watu huwa wanafanana. Gwajima hana shingo pana kama ile, pua kubwa kama ile, kidevu kipana na hata macho yake siyo makubwa kama yale... MUDA UTASEMA.
mnatia huruma nyie mliofungwa minyororo na matapeli wa kiimani, kina gwajima. yani ata logical thinking na reasoning mmepokonywa.Kwa haraka ukiangalia ile picha inayosambazwa utadhani ni Gwajima, lakini kumbukeni watu huwa wanafanana. Gwajima hana shingo pana kama ile, pua kubwa kama ile, kidevu kipana na hata macho yake siyo makubwa kama yale... MUDA UTASEMA.
😂😂😂Before make up & After Make up / Kwenye Ulimwengu wa Giza & Kwenye ulimwengu wa MwangaView attachment 1090845
Naona umefukua kaburi[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]