Gwajima hana pua kubwa kama ile, hana macho kama yale. Siyo Gwajima yule

Gwajima hana pua kubwa kama ile, hana macho kama yale. Siyo Gwajima yule

Mimi mwanzo kabisa walipoanza kusambaza hizo video na picha niligundua palepale kwamba ni za kutengeneza

Tukio hili sio la bahati mbaya bali ni mpango wa watu fulani ili tusihoji yale ya muhimu tubaki kumjadili Gwajima

Tunamtaka Mdude akiwa hai na tunataka maelezo ya kina kwanini uchumi wa Tanzania unayumba kwa kasi ya kutisha!
 
Jamani niwakumbushe kadhia ya Bashite kuvamia Clouds TV ili kumchafua huyu Askofu Gwijima ikabuma.
Sasa Mkuu wa polisi amemuita Gwajima kumuhoji.
Kwa nini wasichunguze chanzo cha hizo video kama ni za kweli na kazipost nani??
Polisi jiongeze basi IT tech!!
 
Nakumbuka wakati kaitwa sentro mlienda kuimba kwaya pale nje ya sentro!
Na alikutwa na bastola wodini mnakumbuka? Alipoulizwa akasema ni ya self defense! Mchungaji anafundisha wengine kumtegemea Mungu wakati mwenyewe anategemea bastola! Amri ya Mungu inasema 'usiue', mchungaji ana bastola, ni ya kazi gani kama si ya kuua? Mtaibiwa sana!
 
Ameita Press Conference leo 08/05/2019 saa 5 asubuhi
Post by bishopgwajima 640 x 799.jpg
 
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE:


_"Wakati anapambana na mimi kipindi cha operesheni yangu ya tokomeza madawa ya kulevya nilisema hawezi kunishinda kwa sababu najua sio mchungaji bali ni tapeli tu wa mjini anayetumia kanisa kutapeli watu._

_Niliamua kuwa mpole ili nione mwisho wa mashambulizi yake, sasa nadhani kwa pigo hili watu wataamua nani mshindi kati yangu na yeye._

_Nimeshatoa maelekezo kwa kamanda Mambosasa amsake popote alipo akaeleze kwanini amekuwa akiwanyanyasa waumini kingono"_

*- RC Makonda*
Source?
 
Kweli kabisa nikiangalia lighting tu kwanza inanichanganya mwanamke na lighting nyingi mno kuliko chest ya mwana mme then mwanamke yupo out of focus Bado sijaamini
 
Wataalamu wa ICT, tunaomba mtusaidie tukinunua umeme wa Luku, uwe unaingia moja kwa moja kwenye mita. Siyo mpaka tukabonyeze vitufe.
 
Kweli kabisa nikiangalia lighting tu kwanza inanichanganya mwanamke na lighting nyingi mno kuliko chest ya mwana mme then mwanamke yupo out of focus Bado sijaamini
Ile ni sex for money bro
 
Sina chuki ila huo ndio ukweli ukubali au ukatae. . walokole mnajikutaga watakatifu sana.. hii issue ya gwajima wewe mwenyewe huna uhakika kama ni kweli au si kweli ndio maana umetumia neno ikiwa,, sasa kama hamna uhakika why msiipe 50% kwa 50% kua huenda ni kweli au si kweli than kuja hapa na kusema haiwezekani eti kisa ni mtumishi wa Mungu,, kwani ukiwa mtumishi wa Mungu mashine haisimami au hamu ya kufanya tendo haiji..
Nyie walokole ndio yule mfarisayo aliyeenda hekaluni kusali akawa anajisifia kua anasali, anafunga anatoa zaka sio kama mtoza ushuru
Unachuki binafsi acha ujinga ikiwa hakufanya photoshop inawezekana.
 
Wataalamu wa ICT, tunaomba mtusaidie tukinunua umeme wa Luku, uwe unaingia moja kwa moja kwenye mita. Siyo mpaka tukabonyeze vitufe.
Download Google Chrome itafungua Clip zote bila tatizo
Opera inaweza angalau
lkn JF App ni ngumu inachelewa labda kwenye simu za mkononi
lkn Google Chrom ni Multpurpose
 
Back
Top Bottom