Gwajima: Mfalme mwache avimbe, wewe songambele

Gwajima: Mfalme mwache avimbe, wewe songambele

Chadema na lisu aliwaita mbwa

Nanuku ,rais huna haja ya kujibizana na mbwa anaebweka ,leo Tena mfalme
 
"....Mfalme hata akivimba wewe mwache avimbe lililo kuu songambele." Askofu Gwajima.

"....muulizeni tuedit maandiko Matakatifu?!" Askofu Gwajima.

"....Corona niliipinga kabla hata ya Ubunge na kamwe sitorudi nyuma." Amesema Askofu Gwajima.
Nilifuatilia mahubiri yake ya Jana Jumapili Online kupitia YouTube channel yake ya rudisha TV mwanzo mwisho...

Aliwatumia wafalme wawili wanaotajwa katika Biblia namely;

1. Mfalme Farao [akiwakilisha ufalme wa Giza/shetani] wa Misri VS Mussa [akiwakilisha Mungu Yehova] mkombozi na kiingozi wa taifa teule la Mungu, wana wa Israel waliochukuliwa utumwani kwa miaka 430

2. Mfalme Nebukadneza wa Babel [alama ya shetani] dhidi ya kina Daniel, Shadrack, Meshack & Abednego [waliomwakilisha Mungu Yehova] kupinga nguvu ya shetani ndani ya mfalme

Aliwatumia hawa kama reference ya somo alilofundisha hiyo Jana. Ni kazi ya mwanafunzi kuelewa na kuitumia elimu na maarifa haya kuyahusuanisha na mazingira ya leo ya maisha yake ya kila siku...

Kwa Mkristo yeyote wa kweli, hili lilikuwa somo zuri sana kwa apendaye kupata maarifa ya elimu ya kiroho ya jinsi ulimwengu wa GIZA unavyotenda kazi against ulimwengu wa NURU...

Na HAKIKA na UZURI ni kuwa HUU NDIYO UKWELI HALISI USIOWEZA KUBADILIKA wala KUPINGIKA...!
 
Nilifuatilia mahubiri yake ya Jana Jumapili Online kupitia YouTube channel yake ya rudisha TV mwanzo mwisho...

Aliwatumia wafalme wawili wanaotajwa katika Biblia namely;

1. Mfalme Farao [akiwakilisha ufalme wa Giza/shetani] wa Misri VS Mussa [akiwakilisha Mungu Yehova] mkombozi na kiingozi wa taifa teule la Mungu, wana wa Israel waliochukuliwa utumwani kwa miaka 430

2. Mfalme Nebukadneza wa Babel [alama ya shetani] dhidi ya kina Daniel, Shadrack, Meshack & Abednego [waliomwakilisha Mungu Yehova] kupinga nguvu ya shetani ndani ya mfalme

Aliwatumia hawa kama reference ya somo alilofundisha hiyo Jana. Ni kazi ya mwanafunzi kuelewa na kuitumia elimu na maarifa haya kuyahusuanisha na mazingira ya leo ya maisha yake ya kila siku...

Kwa Mkristo yeyote wa kweli, hili lilikuwa somo zuri sana kwa apendaye kupata maarifa ya elimu ya kiroho ya jinsi ulimwengu wa GIZA unavyotenda kazi against ulimwengu wa NURU...

Na HAKIKA na UZURI ni kuwa HUU NDIYO UKWELI HALISI USIOWEZA KUBADILIKA wala KUPINGIKA...!
🙌🙌🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom