Gwajima, Polepole na Silaa waitwa Kamati ya Maadili ya CCM


Hivi Ina maana Jerry Slaa hawezi kusoma salary slip yake? Nauliza tu Jaman!
 
#2

Imani ya pili ya CCM....

"Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake"

✓Unaanzaje kuwa na HESHIMA kwa wengine ilihali UNAJITENGENEZEA HISIA ZISIZO NA USHAHIDI kuwa sisi wananchi TUNAOHIMIZANA CHANJO tumefuata mkumbo wa viongozi "WALIONUNULIWA" na MABEBERU......

✓Unaanzaje kuwa na HESHIMA kwa wengine ilihali UNAWAOMBEA LAANA YA KIFO madaktari wetu wanaotuhimiza chanjo ya UVIKO?!!!


#SiempreCCM
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
 
CCM ina taratibu zake....

Ni mwiko kumpinga MWENYEKITI WETU hadharani kwa njia za kumshambulia ,kedi na kebehi.....

#SiempreCCM
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#KaziIendelee
Mimi ni sisiem, na mwenyekiti hapingwi popote, iwe hadharani au kikaoni
Hakuna demokrasia hio ya kutofautiana na mwenyekiti
 
Anawananchi
Gwajima aende na clip ya jana Kawe akiwa na Samia, awaambie wananchi wake ndiyo wamemtuma........

Slaa aende na clip ya Bashe ambayo ipo kwenye hansadi za Bunge......

Pole pole aende na V8 ataeleweka
Ana wananchi gani?
Ungesema kondoo wa kanisani kwake,
Alipitishwa na mwendazake.
 
Ni ujinga kufikiri watu wa Gwaji ni wale wa kabisa lake
 
Uteuzi unakuhusu ndugu, au tayari umeteuliwa!
Sayansi bado haijathibitisha weledi wa chanjo ya kovid
Anayeshadidia ni labda anataka uteuzi, au Safari za nje au hofu ya korona
Mama mwenyewe ameleta chanjo kwa ajili ya diplomasia na si kuondoa janga la korona Tz, maana hatuna janga tuna maradhi ya covid Kama maradhi mengine
 
Wote watavuliwa uanachama CCM,pigia msitali utakuja nikumbuka.
Hawatavuliwa uanachama, wanangoja uchaguzi wawanyime ubunge, ccm hatutakagi mawazo mbadala, sote tunatakiwa tuseme ndiiooo kwa viongozi wetu
 
Watuhumiwa wamekiuka Katiba ya chama Chao kwa kiwango Cha juu, ni vema wakachutama Kama bado Wana mahaba na chama Chao, vinginevyo naona wanapewa talaka tatu,siyo wenzao.
 
Huo mfumo hawajaueneza, Bali tumeiga
Hoja ya usalama wa miili yetu dhidi ya chanjo ni hoja kuntu
Wameasisi haki za mashoga, vipi tufuate kwakuwa tunafuata Mambo yao mengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…