Kila mtu anastahili heshima, Ila ukweli hauvunji heshima, Kama kweli wamenunuliwa huo unabaki ukweli na aliyenunuliwa ndie amevunja heshima yake#2
Imani ya pili ya CCM....
"Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake"
✓Unaanzaje kuwa na HESHIMA kwa wengine ilihali UNAJITENGENEZEA HISIA ZISIZO NA USHAHIDI kuwa sisi wananchi TUNAOHIMIZANA CHANJO tumefuata mkumbo wa viongozi "WALIONUNULIWA" na MABEBERU......
✓Unaanzaje kuwa na HESHIMA kwa wengine ilihali UNAWAOMBEA LAANA YA KIFO madaktari wetu wanaotuhimiza chanjo ya UVIKO?!!!
#SiempreCCM
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
wako kule kwenu Makete.Unaelewa maana ya rushwa wewe?
Wako wapi akina Halima James Mdee?
Dodoma. Wabunge watatu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwamo Mbunge wa Kuteuliwa, Humpherey Polepole watawekwa kikaangoni leo na Kamati ya Maadili ya Wabunge wa CCM kuhojiwa kuhusu masuala tofauti.
Wabunge wengine watakaohojiwa leo ni Askofu Josephat Gwajima (Kawe) na Jerry Silaa (Ukonga) ambao Bunge lilipitisha azimio la kuwasimamisha kwa mikutano miwili kutokana na tuhuma za kusema uongo, kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Vilevile, Kamati imependekeza Askofu Gwajima kufikishwa mbele ya kamati ya chama chake CCM na kuhojiwa kuhusu mwenendo wake.
Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ilipendekeza Silaa asimamishwe mikutano miwili ya Bunge la Tanzania na avuliwe uwakilishi kwenye Bunge la Afrika (PAP) kwa madai kuwa anaweza kusema uongo akienda huko.
Kilichomponza Silaa ni kauli yake ya kutaka wabunge wakatwe kodi kwenye mapato yao, jambo lililoelezwa kuwa ni uongo, kwani wabunge wanalipa kodi.
Kwa upande wa Gwajima, atatakiwa kujieleza kuhusu kauli anazozitoa katika Kanisa lake la Ufufuo na Uzima kuanzia Julai 25 mpaka Agosti 15 kuhusu chanjo ya korona.
Chanzo Mwananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
JPM Ni Mwenyekiti wa Chama? Usipokwepo na lako halipoKama JPM alisema chanjo hazifai leo anatokea mtu au watu wanasema zinafaa huko si ni kumpinga JPM? Au siyo?
Ninachojua ategemeaye vimungu kama Mwendazake sasa ndio wana ula wa chuya!Alikuwa kimungu chako enzi zile haukumpinga
Wsn
Atuona sisi mazezeta.
Haki za mashoga si matibabu Wala tiba....Huo mfumo hawajaueneza, Bali tumeiga
Hoja ya usalama wa miili yetu dhidi ya chanjo ni hoja kuntu
Wameasisi haki za mashoga, vipi tufuate kwakuwa tunafuata Mambo yao mengine?
JPM ni nani kwa sasa kwenye nchi hii?Kama JPM alisema chanjo hazifai leo anatokea mtu au watu wanasema zinafaa huko si ni kumpinga JPM? Au siyo?
Sekretari ya Ccm sasa inaongozwa na vikaragosi hata havijielewi. Polepole wanamhoji nini kama sio kujipendekeza kijinga. Kuna watu wako kwenye uongozi wa juu ccm wala hata hawakielewi chama. Hawaelewi itikadi ya ccm na wala hawajui kwa uhakika ccm inasimamia nini. Na wala hata huyo mama samia hawamuelewi.Dodoma. Wabunge watatu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwamo Mbunge wa Kuteuliwa, Humpherey Polepole watawekwa kikaangoni leo na Kamati ya Maadili ya Wabunge wa CCM kuhojiwa kuhusu masuala tofauti.
Wabunge wengine watakaohojiwa leo ni Askofu Josephat Gwajima (Kawe) na Jerry Silaa (Ukonga) ambao Bunge lilipitisha azimio la kuwasimamisha kwa mikutano miwili kutokana na tuhuma za kusema uongo, kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Vilevile, Kamati imependekeza Askofu Gwajima kufikishwa mbele ya kamati ya chama chake CCM na kuhojiwa kuhusu mwenendo wake.
Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ilipendekeza Silaa asimamishwe mikutano miwili ya Bunge la Tanzania na avuliwe uwakilishi kwenye Bunge la Afrika (PAP) kwa madai kuwa anaweza kusema uongo akienda huko.
Kilichomponza Silaa ni kauli yake ya kutaka wabunge wakatwe kodi kwenye mapato yao, jambo lililoelezwa kuwa ni uongo, kwani wabunge wanalipa kodi.
Kwa upande wa Gwajima, atatakiwa kujieleza kuhusu kauli anazozitoa katika Kanisa lake la Ufufuo na Uzima kuanzia Julai 25 mpaka Agosti 15 kuhusu chanjo ya korona.
Chanzo Mwananchi
Yes, wahojiwe. Wameyataka wenyewe
Ni kwa nini umewaza hivyo bwashee?Najua Chadema mimacho kodo mnasubiri watimuliwe waje kwenu.
Mtasubiri sana!
Wote watavuliwa uanachama CCM,pigia msitali utakuja nikumbuka.
Ama Ni haya matukio ya kupiga picha?Hamna kitu hapa.
Kuna hoja Ccm na serikali yake wana kwepesha.
Ccm huzima hoja kwa matukio.
Kama JPM ni kimungu chako mfuate shimoni kule Chato.
Hapa tuna Rais anayetawala nchi iitwayo Tanzania.