Hata kiongozi wa serikali [iliyo na mamlaka] anaweza kutoka huko alikolala na mkewe au mumewe na kutoa amri kuwa;
"kuanzia kesho mimi Rais nasema, watu ruksa kulawitiana"
Je, kwa sababu hii ni kauli iliyotoka kwa kiongozi wa serikali "yenye mamlaka, iliyowekwa na mungu" basi watu watii tu, au siyo..?
Kama hii ndiyo maana yako, basi kumbe Mungu alikuumba na kukupa akili za bure tu badala ya kuzitumia kwa kazi ya kutambua JEMA na BAYA....!
Honestly, mimi naweza Kuku - describe kwa namna hii, kuwa, wewe ni "mjinga wa kiroho". Hujui usemalo. Huyajui maandiko. Nakushauri acha kupotosha watu kwa hili...!!
Ni wazi kuwa hujui. Kuwa, kwa taarifa yako ziko mamlaka zingine na zinaongoza serikali za kidunia, wala hazijatoka wala kuwekwa na Mungu Yehova. Zimejiweka zenyewe au kuwekwa na kale "kamungu" kengine na zinatumia maandiko haya haya kuongoza kipotoshaji na watu kwa ujinga wao wanakubali....
Ama kweli watu wa Mungu tunaangamizwa kwa kukosa maarifa ya kuyatambua na kuelewa maandiko ya Mungu....
Be carefully usije Julia na kujuta baadaye!