Gwajima: Siwezi kujitetea kwa mahubiri yanayotoka kwa Roho Mtakatifu

Gwajima: Siwezi kujitetea kwa mahubiri yanayotoka kwa Roho Mtakatifu

Huyu ni mpuuuzi, Low IQ katika ubora wake! Sasa huo ni utetezi?! Misukule yake itamwelewa!
Ungeanzia kwenye kauli ya kamati ya Bunge ningekuelewa, lakini naona kama unahangaika na Gwajima. Bunge lilihusikaje na mambo anayoyafanya kanisani au mitaani? Yaani Bunge linawachunga wabunge kama watoto wa spika? Kama ni makosa kisheria alistahili kufikishwa mahakamani na siyo Bungeni; Hakuyasema bungeni.

Ukiwa Dodoma, utawakuta wabunge wanahangaika na changudoa. Uchangudoa kisheria ni kosa hapa nchini, mbona hatujaona spika akiwaita bungeni? Akina Chenge waliwahi kugonga na kuaa mtu mitaani, mbnona hawakuitwa Bungeni? Kwa nini hili tu la chanjo ndo liwe jambo la kuhukumiwa Bungeni? Kamati yemnyewe... maamuma tu!
 
Ungeanzia kwenye kauli ya kamati ya Bunge ningekuelewa, lakini naona kama unahangaika na Gwajima. Bunge lilihusikaje na mambo anayoyafanya kanisani au mitaani? Yaani Bunge linawachunga wabunge kama watoto wa spika? Kama ni makosa kisheria alistahili kufikishwa mahakamani na siyo Bungeni; Hakuyasema bungeni.

Ukiwa Dodoma, utawakuta wabunge wanahangaika na changudoa. Uchangudoa kisheria ni kosa hapa nchini, mbona hatujaona spika akiwaita bungeni? Akina Chenge waliwahi kugonga na kuaa mtu mitaani, mbnona hawakuitwa Bungeni? Kwa nini hili tu la chanjo ndo liwe jambo la kuhukumiwa Bungeni? Kamati yemnyewe... maamuma tu!
Mbunge kusema raisi kapokea hela kuruhusu chanjo ni kosa la kibunge mpaka jinai
 
Nyinyi mnaoikubali chanjo mbona hamchanji? Au unataka kutuambia kuwa watanzania karibia wote wakiwemo nyumbu wenu wanamsikiliza Gwajima? Hushangai idadi ya waliochanga haifikii laki nne?
Nisha chanja baada ya kuona rafiki yangu anakufa kwa mateso.
 
Kumbe!!!![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Walipe VIP treatment kama waliyompa Mtikila , wamalize kazi


Kumbee?!

Msijisahau nyie mkamuudhi Mwenyezi Mungu anatisha?!

Mwenyezi Mungu mkali!

Wako wapi watesi wake? [emoji2369]

Mbona awamu ile JPM alisema wazi chanjo hazifai?!

Matatizo yanayowakabili wananchi ni mengi sana zingatieni sana katika kutafuta ufumbuzi wa kuyaondoa kuliko kufikiria kumuangamiza Masihi wa Bwana.

Ifike mahala matatizo ya wananchi yawekere na kuwanyima usingizi hadi mpate ufumbuzi na siyo kukerwa na Mwana wa Mungu huyo!
 
Alishasema hata pombe na sigara huwa anahubiri kuwa hazifai kwa matumizi.

Huwa anahubiria waumini wake hivyo.

Na wakati huo huo watengenezaji wa pombe na sigara ni walipakodi wakubwa ambapo serikali inakusanya kodi nyingi,

Na maisha yanaendelea wanaokunywa na kuvuta sigara wanaendelea na wanashika mafundisho ya Neno wanatii kwa kutokunywa pombe na kuvuta sigara.

Akasema Mbona hajawahi kuitwa ahojiwe?
 
Huwezi kuyafanya mahubiri ya kanisani kama kichaka cha upotoshaji na wakati mhubiri mwenyewe wakati fulani ndiye pia alikuwa muumini wa kauli hii inayotumiwa mara nyingi na wanasiasa hata out of context: 'Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu' (Warumi 13:1). Waumini wengine ni askofu Gamanywa, Kakobe, Mzee wa Upako etc.
Naomba kuuliza swali hili kwenye huo mstari. Wajerumani waliompinga Hitler walikuwa na dhambi ya kutotii mamlaka?

Je ikitokea muumini wa kanisa la shetani akashika nchi,akapata wabunge wengi na kubadili sheria ya nchi na kuifanya ibada kwa shetani iwe lazima kwa kila mtu, utaipinga mamlaka ama utaitii?

Ahsante!
 
Kumbee?!

Msijisahau nyie mkamuudhi Mwenyezi Mungu anatisha?!

Mwenyezi Mungu mkali!

Wako wapi watesi wake? [emoji2369]

Mbona awamu ile JPM alisema wazi chanjo hazifai?!

Matatizo yanayowakabili wananchi ni mengi sana zingatieni sana katika kutafuta ufumbuzi wa kuyaondoa kuliko kufikiria kumuangamiza Masihi wa Bwana.

Ifike mahala matatizo ya wananchi yawekere na kuwanyima usingizi hadi mpate ufumbuzi na siyo kukerwa na Mwana wa Mungu huyo!

Uwana wa mungu yupi ??? au ulimpa wewe uwana wa mungu ???
 
Huwezi kuyafanya mahubiri ya kanisani kama kichaka cha upotoshaji na wakati mhubiri mwenyewe wakati fulani ndiye pia alikuwa muumini wa kauli hii inayotumiwa mara nyingi na wanasiasa hata out of context: 'Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu' (Warumi 13:1). Waumini wengine ni askofu Gamanywa, Kakobe, Mzee wa Upako etc.
Mkuu Gwajima hajapotosha popote maana viongozi wakuu walishasema hadharani kuwa chanjo siyo lazima. Mimi nilishachanja lakini kwa hiari. Gwajima hana makosa bali Bunge limechemka. Ndugai hana busara.
 
Huyo roho mtakatifu wake ndie alimwambia Corona haitakuja Tanzania halafu ikaja? sasa huyo roho wa uongo nani amwamini?

Huku anajiita mchungaji mara kule Askofu anajiokotea majina tu apendavyo, anasahau kuwa naye ni mwanasiasa, kwa zile kura alizoibiwa Kawe kupitia chama chake anakuwa binded na maamuzi ya vikao vya chama chake.

Kama hataki hilo ajiuzulu ubunge abaki na kanisa lake hakuna atakayeangaika nae, lakini kitendo cha kupingana na mwenyekiti wake ni uasi na zaidi ni udhaifu juzi alipata nafasi ya kusema msimamo wake mbele ya mwenyekiti akaishia kucheka cheka yu.
Hata Pope mwenyewe ni Mchungaji.
 
Gwajima is another Mtikila in the making isipokiwa gwajima anakuwa upande wa Utajiri wa mali zaidi na Mtikila philosopher ambaye hata Hayati Nyerere alikuwa anasikiliza hoja zake kwa makini sana. One of the best brain from opposition in Tanzania ever to exist in this land.

Ingependeza Gwajima akomae na Katiba mpya haswa kipengele cha Independent candidate halafu aje awe mgombe binafsi wa bunge na hata uraisi itapendeza sana. Mchango wake Gwajima unahitajika sana kuleta amsha amsha kwa utawala.
 
Back
Top Bottom