Gwajima: Siwezi kujitetea kwa mahubiri yanayotoka kwa Roho Mtakatifu

Gwajima: Siwezi kujitetea kwa mahubiri yanayotoka kwa Roho Mtakatifu

Hujasoma ukanielewa. Nimesema kuna wakati na yeye alikuwa muumini wa hiyo phrase ya mamlaka dhidi ya viongozi wenzake wa dini waliokuwa wakiikosoa serikali kuhusu demokrasia kipindi cha awamu ya 5. Ndiyo maana nikasema hii phrase inatumiwa vibaya na wanasiasa (out of context) kuhalalisha mambo wanayoyataka, lakini siyo fasili sahihi ya Biblia. Andiko la mamlaka kwenye Biblia halina maana mamlaka yoyote, bali 'mamlaka hahali' au 'mamlaka inayotenda haki' au inayowaunganisha watu au inayotimiza wajibu wake wa uongozi wa nchi kwa masilahi ya wote na siyo kwa masilahi ya kikundi fulani cha watu au eneo fulani la nchi. Yaani hakuna anayekuwa na ulazima wa kutii mamlaka mtu anayoona au anayoamini haitendi haki na kiongozi pekee katika kuamua ni 'certain conscience' (dhamiri yenye uhakika kuhusu jambo fulani). Hii ni aina ya dhamiri ambayo mbele ya jambo fulani na kwa wakati huo wa kuamua mtu anasikia sauti ya ndani mwake ikimwambia tenda au acha. Dhamiri ya aina hii kwa kadiri inavyokushawishi kutenda au kuacha matokeo yake huwa ni furaha (kama ukifuata dhamiri yako inavyokushawishi au huzuni kama ukifanya jambo kinyume na dhamiri yako inavyokushawishi). Baada ya kuamua kutenda au kuacha, mtu anatakiwa kujiridhisha (kujua) kama jambo alililolitenda au acha kutenda ni jema au la. Na kupata habari hapa maana yake ni kuwa na 'well-informed conscience' (dhamiri ya kweli - kuamua kutenda au kuacha kutenda jambo kwa vile unajua bila shaka ukweli au undani wake). Ukiwa na 'doubtful conscience' (dhamiri ya mashaka) hupaswi kufanya uamuzi wowote mpaka hapo utakapokuwa na uhakika wa jambo lenyewe (certain conscience).
Mfano mzuri Shadraki,Meshaki na Abednego waligoma kutii maagizo ya 'kishetani' na Mungu akawa upande wao mwanzo mwisho.Mifano ipo mingi sana."Mamlaka halali".What a point!!!

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Kuna marehemu alipelekwa hapo kwake kwa siku nne Gwajima ana mfanya vitu vyake tapeli huyu.
Hadi marehemu kaanza kunuka.

Lini mtashituka ninyi kizazi kilicholaaniwa!
Aliahidi kumfufua Amina Chifupa, bado tunasubiri.
 
Ina maana itawalazimu wamuite 'roho mtakatifu' kutoa ushahidi?
 
Huwezi kuyafanya mahubiri ya kanisani kama kichaka cha upotoshaji na wakati mhubiri mwenyewe wakati fulani ndiye pia alikuwa muumini wa kauli hii inayotumiwa mara nyingi na wanasiasa hata out of context: 'Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu' (Warumi 13:1)
Hilo andiko unalipotosha, haya mamlaka ni ya kaizari na kamwe hayajawahi kutoka kwa Mungu.

Mamlaka ya Mungu ni ya Mungu na ya Kaizari ni ya Kaizari
 


"Niliitwa na Kamati ya Maadili ya Bunge wiki iliyopita nilipotoka wengi mliniuliza kimejiri nini na nikasema sitosema hadi Kamati iseme kwanza na kwasababu Kamati imeshaongea acha nami nizungumze”

“Sababu ya kuongea ni kwasababu wameniongelea kama Mtu mbaya sana, Jitu baya sana ambalo kama lipo kama lilivyotajwa basi halitakiwi hata kuwa Kiongozi wa Kanisa”

“Mimi Mchungaji wa muda mrefu sana hapa tu Ubungo nipo kwa miaka 25, nilipoitwa kwenye Kamati yale niliyoitiwa ni kuhusu mahubiri ya Kanisani, Mimi nikawaambia sidhani kama Kamati mmefanya vizuri maana yote nimeongea Kanisani na hakuna mwenye Mamlaka ya kuuliza maswali juu ya Ibada ya Kanisani na imani za Watu na nikasema kwenye hili Kamati mmekosea”

“Niliwaambia Kamati mmesema mmesikia nimewaambia Watu wasichanjwe nikasema hiyo haibadiliki milele, nikaweka wazi kwamba sisi Ufufuo na Uzima chanjo ni hiari na sisi tumechagua hatuchanji sikupindisha nilisema hatutowaruhusu Waumini kuchanja na sababu zetu ni hatujapata taarifa za kutosha juu ya madhara ya chanjo ya muda mfupi, siku zijazo na siku nyingi”

“Kwahiyo kama nimeitwa mkorofi ukorofi wangu ni huo na kama huo ndio ukorofi basi ni ukorofi kwelikweli kwenye eneo hilo, wakaniambia jitetee nikasema sina la kujitetea, siwezi kujitetea kwa mahubiri niliyohubiri yanatoka kwa roho mtakatifu, nimefafanua ili mjue Gwajima sio mkorofi ”———-Askofu Gwajima

My Take
Bunge hapa lilichemka. Labda lingempiga pini kwenye chama

Kwaiyo hata akiongea Jambo ambalo Ni hatari kwa usalama wa Taifa asihojiwe kisa tu kazungumza kanisani wakati alipokuwa kapandwa na jini roho mtakatifu
 
Ina maana itawalazimu wamuite 'roho mtakatifu' kutoa ushahidi?
Gwajima Ni hatari kwa usalama wa Taifa, inatakiwa adhibitiwe haraka, akawekwe ukonga hata kwa miaka mitano, hili kuepusha hatari anayotaka kuileta
 
Mamlaka ndio iliyosema chanjo ni hiari mtu atake kuchanjwa ama la. Kwa ujinga wako unadhani anae kataa anapingana na mamlaka kitu ambacho sio sahii.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Gwajima alidai watu wamehongwa kupitisha chanjo.

Alidai watu watakua mazombie wakichanja

Akatishia madaktari wanaotoa chanjo watakufa

Sasa kama haya yote aliropoka ndio kutii mamlaka kwa kuongea habari za uongo? (Maana kamati iliomba ushahidi akakosa)

Maadam yye ni CCM na Mwenyekiti kasema watu wachanjwe then ina maana kma hakubali basi ajiuzulu ubunge na sio kuanza kutisha watu na kupotosha vitu vya sayansi asivyo na utaalamu navyo.

Alisema jumanne angeongea na watengeneza chanjo iliishia wapi? Alidai covid 19 inasababishwa na 5G mara Covid 19 mwisho kenya haitovuka TZ..... Alafu leo hii mnamuamini huyu askofu??

Gwajima is a fraud... Period!! Natamani siku augue kweli hiyo Covid 19 ndio mtaona kma hajaenda kuwekewa mitungi ya gesi!!
 
Gwajima alidai watu wamehongwa kupitisha chanjo.

Alidai watu watakua mazombie wakichanja

Akatishia madaktari wanaotoa chanjo watakufa

Sasa kama haya yote aliropoka ndio kutii mamlaka kwa kuongea habari za uongo? (Maana kamati iliomba ushahidi akakosa)

Maadam yye ni CCM na Mwenyekiti kasema watu wachanjwe then ina maana kma hakubali basi ajiuzulu ubunge na sio kuanza kutisha watu na kupotosha vitu vya sayansi asivyo na utaalamu navyo.

Alisema jumanne angeongea na watengeneza chanjo iliishia wapi? Alidai covid 19 inasababishwa na 5G mara Covid 19 mwisho kenya haitovuka TZ..... Alafu leo hii mnamuamini huyu askofu??

Gwajima is a fraud... Period!! Natamani siku augue kweli hiyo Covid 19 ndio mtaona kma hajaenda kuwekewa mitungi ya gesi!!
Nimependa conclusion yako. Nilitamani sana hili kwa Magu. ikajipa
 
Nimependa conclusion yako. Nilitamani sana hili kwa Magu. ikajipa
Ivi Magu alikufa kwa COVID-19? na nyomi lile lilivyomuaga tena kwa kupishana na jeneza Lake 0 distance bila ata Baraka ama sanitizer? Na hatukusikia wala kuona waagaji wakidondoka kwa Corona kwenye kuaga?
Usilazimishe ujinga wako hapa, tunaelewa sana mchezo uliofanyika, sisi sio wajinga hata kama hakukubalika kwa kila raia lkn kwa misimamo yake juu ya corona alikuwa man of the world
 


"Niliitwa na Kamati ya Maadili ya Bunge wiki iliyopita nilipotoka wengi mliniuliza kimejiri nini na nikasema sitosema hadi Kamati iseme kwanza na kwasababu Kamati imeshaongea acha nami nizungumze”

“Sababu ya kuongea ni kwasababu wameniongelea kama Mtu mbaya sana, Jitu baya sana ambalo kama lipo kama lilivyotajwa basi halitakiwi hata kuwa Kiongozi wa Kanisa”

“Mimi Mchungaji wa muda mrefu sana hapa tu Ubungo nipo kwa miaka 25, nilipoitwa kwenye Kamati yale niliyoitiwa ni kuhusu mahubiri ya Kanisani, Mimi nikawaambia sidhani kama Kamati mmefanya vizuri maana yote nimeongea Kanisani na hakuna mwenye Mamlaka ya kuuliza maswali juu ya Ibada ya Kanisani na imani za Watu na nikasema kwenye hili Kamati mmekosea”

“Niliwaambia Kamati mmesema mmesikia nimewaambia Watu wasichanjwe nikasema hiyo haibadiliki milele, nikaweka wazi kwamba sisi Ufufuo na Uzima chanjo ni hiari na sisi tumechagua hatuchanji sikupindisha nilisema hatutowaruhusu Waumini kuchanja na sababu zetu ni hatujapata taarifa za kutosha juu ya madhara ya chanjo ya muda mfupi, siku zijazo na siku nyingi”

“Kwahiyo kama nimeitwa mkorofi ukorofi wangu ni huo na kama huo ndio ukorofi basi ni ukorofi kwelikweli kwenye eneo hilo, wakaniambia jitetee nikasema sina la kujitetea, siwezi kujitetea kwa mahubiri niliyohubiri yanatoka kwa roho mtakatifu, nimefafanua ili mjue Gwajima sio mkorofi ”———-Askofu Gwajima

My Take
Bunge hapa lilichemka. Labda lingempiga pini kwenye chama

Yanatoka kwa roho mtakatifu au roho mtakakitu?
 
CCM hamna kitu , bila polisi hawa ni watupu mno !
MaCCM wameparaganyika sana kipindi hiki kuliko wakati wowote ule. Hawataki mwanamke awaongoze, tena muslimu na mzanzibar, wanamwangalia Samia wanasema hiiii!!!!
Sukuma GANG/ MATAGA yameapa.
 


"Niliitwa na Kamati ya Maadili ya Bunge wiki iliyopita nilipotoka wengi mliniuliza kimejiri nini na nikasema sitosema hadi Kamati iseme kwanza na kwasababu Kamati imeshaongea acha nami nizungumze”

“Sababu ya kuongea ni kwasababu wameniongelea kama Mtu mbaya sana, Jitu baya sana ambalo kama lipo kama lilivyotajwa basi halitakiwi hata kuwa Kiongozi wa Kanisa”

“Mimi Mchungaji wa muda mrefu sana hapa tu Ubungo nipo kwa miaka 25, nilipoitwa kwenye Kamati yale niliyoitiwa ni kuhusu mahubiri ya Kanisani, Mimi nikawaambia sidhani kama Kamati mmefanya vizuri maana yote nimeongea Kanisani na hakuna mwenye Mamlaka ya kuuliza maswali juu ya Ibada ya Kanisani na imani za Watu na nikasema kwenye hili Kamati mmekosea”

“Niliwaambia Kamati mmesema mmesikia nimewaambia Watu wasichanjwe nikasema hiyo haibadiliki milele, nikaweka wazi kwamba sisi Ufufuo na Uzima chanjo ni hiari na sisi tumechagua hatuchanji sikupindisha nilisema hatutowaruhusu Waumini kuchanja na sababu zetu ni hatujapata taarifa za kutosha juu ya madhara ya chanjo ya muda mfupi, siku zijazo na siku nyingi”

“Kwahiyo kama nimeitwa mkorofi ukorofi wangu ni huo na kama huo ndio ukorofi basi ni ukorofi kwelikweli kwenye eneo hilo, wakaniambia jitetee nikasema sina la kujitetea, siwezi kujitetea kwa mahubiri niliyohubiri yanatoka kwa roho mtakatifu, nimefafanua ili mjue Gwajima sio mkorofi ”———-Askofu Gwajima

My Take
Bunge hapa lilichemka. Labda lingempiga pini kwenye chama

Well,that is what referred as prophetic intelligence.
According to our constitution, each person has freedom to give opinion I,and this proves on variation in thoughts, the thought/opinion of majority is regarded as the best opinion and it must be followed ,but those with different views as those of many must be listened.

Sometimes I remember the comment the late president of Kenya and the father of that nation once said that "you have a freedom of expression but I can not assure your freedom after speech" .

Sir.maganga.
 
Ivi Magu alikufa kwa COVID-19? na nyomi lile lilivyomuaga tena kwa kupishana na jeneza Lake 0 distance bila ata Baraka ama sanitizer? Na hatukusikia wala kuona waagaji wakidondoka kwa Corona kwenye kuaga?
Usilazimishe ujinga wako hapa, tunaelewa sana mchezo uliofanyika, sisi sio wajinga hata kama hakukubalika kwa kila raia lkn kwa misimamo yake juu ya corona alikuwa man of the world
mkuu akili zako ni timamu kweli? yaani waagaji waugue Corono hapo hapo na wadondoke? Una takwimu za watu wanaokufa kwa Corona? Uliposikia hali ni mbaya unajuaje kama ndio wale. Watu wangapi wa karibu na Jiwe wamekwenda na maji? Ficha upuuzi
 


"Niliitwa na Kamati ya Maadili ya Bunge wiki iliyopita nilipotoka wengi mliniuliza kimejiri nini na nikasema sitosema hadi Kamati iseme kwanza na kwasababu Kamati imeshaongea acha nami nizungumze”

“Sababu ya kuongea ni kwasababu wameniongelea kama Mtu mbaya sana, Jitu baya sana ambalo kama lipo kama lilivyotajwa basi halitakiwi hata kuwa Kiongozi wa Kanisa”

“Mimi Mchungaji wa muda mrefu sana hapa tu Ubungo nipo kwa miaka 25, nilipoitwa kwenye Kamati yale niliyoitiwa ni kuhusu mahubiri ya Kanisani, Mimi nikawaambia sidhani kama Kamati mmefanya vizuri maana yote nimeongea Kanisani na hakuna mwenye Mamlaka ya kuuliza maswali juu ya Ibada ya Kanisani na imani za Watu na nikasema kwenye hili Kamati mmekosea”

“Niliwaambia Kamati mmesema mmesikia nimewaambia Watu wasichanjwe nikasema hiyo haibadiliki milele, nikaweka wazi kwamba sisi Ufufuo na Uzima chanjo ni hiari na sisi tumechagua hatuchanji sikupindisha nilisema hatutowaruhusu Waumini kuchanja na sababu zetu ni hatujapata taarifa za kutosha juu ya madhara ya chanjo ya muda mfupi, siku zijazo na siku nyingi”

“Kwahiyo kama nimeitwa mkorofi ukorofi wangu ni huo na kama huo ndio ukorofi basi ni ukorofi kwelikweli kwenye eneo hilo, wakaniambia jitetee nikasema sina la kujitetea, siwezi kujitetea kwa mahubiri niliyohubiri yanatoka kwa roho mtakatifu, nimefafanua ili mjue Gwajima sio mkorofi ”———-Askofu Gwajima

My Take
Bunge hapa lilichemka. Labda lingempiga pmvutaini kwenye chama

Anavuta bangi
 
Back
Top Bottom