Gwajima: Siwezi kujitetea kwa mahubiri yanayotoka kwa Roho Mtakatifu

Huyo mungu anayeabudiwa bila shaka ndo huyo anataka tuchanje hakuna jingine..mimi simuabudu huyo mungu hivyo sichanji
 
Kwa hiyo Bunge lina mamlaka ya kusikiliza jinai? Shiiit!
Huku msikia spika alisema wao wata shuhulika na la kibunge na kwa jinai vyombo husika vichukue mkondo wake. Acheni siasa na huyo con man, kwenye dunia ya kistaarabu sio watu wa kuwa vumilia.
 

Mana II was uongo
 
Ana bahati sana kamkuta huyu ni Mama kaumbwa na msamaha kaumbwa na roho fulani ya kiungwana yenye msamaha. Kama angekutana na wababe wa afrika kina Paul Kagame au John Magufuli muda huu angekuwa keshang'olewa meno yote na anakunywa supu kavu ya pili pili kwa lazima.

Wakati mwingine tumshukuru sana Mungu anajua kuleta uwiano hata pale ambapo kwa macho ya kibinadamu unaonekana kutowezekana kuwepo.
 
Hata kiongozi wa serikali [iliyo na mamlaka] anaweza kutoka huko alikolala na mkewe au mumewe na kutoa amri kuwa;

"kuanzia kesho mimi Rais nasema, watu ruksa kulawitiana"

Je, kwa sababu hii ni kauli iliyotoka kwa kiongozi wa serikali "yenye mamlaka, iliyowekwa na mungu" basi watu watii tu, au siyo..?

Kama hii ndiyo maana yako, basi kumbe Mungu alikuumba na kukupa akili za bure tu badala ya kuzitumia kwa kazi ya kutambua JEMA na BAYA....!

Honestly, mimi naweza Kuku - describe kwa namna hii, kuwa, wewe ni "mjinga wa kiroho". Hujui usemalo. Huyajui maandiko. Nakushauri acha kupotosha watu kwa hili...!!

Ni wazi kuwa hujui. Kuwa, kwa taarifa yako ziko mamlaka zingine na zinaongoza serikali za kidunia, wala hazijatoka wala kuwekwa na Mungu Yehova. Zimejiweka zenyewe au kuwekwa na kale "kamungu" kengine na zinatumia maandiko haya haya kuongoza kipotoshaji na watu kwa ujinga wao wanakubali....

Ama kweli watu wa Mungu tunaangamizwa kwa kukosa maarifa ya kuyatambua na kuelewa maandiko ya Mungu....

Be carefully usije Julia na kujuta baadaye!
 
Sijakuelewa unasema nini: unanikosoa mimi kukosoa wanaotumia vibaya vifungu vya biblia au mahubiri kupotosha waumini au unawakosoa hao wanaotumia hivyo vifungu vibaya?
 
Sijakuelewa unasema nini: unanikosoa mimi kukosoa wanaotumia vibaya vifungu vya biblia au mahubiri kupotosha waumini au unawakosoa hao wanaotumia hivyo vifungu vibaya?
KWANZA; ungetoa basi hata "like" kwa comment yangu kwako. Hiyo ndiyo nidhamu ya mjadala hata kama hoja imelenga kukukosoa wewe...

PILI; kuhusu swali lako. Sijui ni kwanini hujaelewa maana nimetumia "nafsi ya pili" (second person) ikiwa na maana nimekulenga wewe...

Kwa mfano hata niliposema "huyajui maandiko wewe" kwanini usitambue kuwa I am referring you..?

Kwa hiyo, the straight forward simple answer for your question is: yes, all of my writings was about you...!!
 
Siwezi ku'like' jambo ambalo sijalielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…