Muache alindwe,yule mchungaji anamtegemea Mungu sana ukisikiliza mahubiri yake utajua hivyo.Ana vita yake anayopigana na Ibilisi,watabiri na wanasiasa anaowapinga kila siku........usisahau pia ana Hummer yake .....lol na mara nyingi watu ni wengi wanaotaka kumuona wale walinzi ni wakuweka taratibu tu za kuonana nae na kuhakikisha yu salama na anatupiga injili kama kawaida as well as kutoa mapepo yanayotutesa.Basi we usiweke geti kwa kuwa Mungu atakulinda kwako???wala kule benki ulikoweka hela zako,ziombee tu lakini kusiwe na ulinzi?????
Kwani ni mchungaji yupi halindwi?.Kuna mambo ya rohoni,hufanywa kiroho,kuna mambo ya mwilini hufanywa kimwili.Paroko huwa na timu ya vijana kama wawili au wanne,mchungaji wa kilutheri huwa na wazee wa kanisa,hawa ndio walinzi.Kwa upande wa mchungaji Gwajima ni kutokana na huduma yake,anapambana na wazito waliochukua wenzao misukule,wengi wao ni vingozi wa siasa na wafanyabiashara.Hivyo kupewa ulinzi kama raisi ni sawa.Kwanini raisi alindwe?Hali kadhalika kiongozi yeyote anapaswa kuwa na ulinzi.Wala sio kusema amtumainie mwanadamu....hiyo sio sahihi.Ni haki yake kupewa ulinzi.
Mbona unatupa link ya kiingredha,kwani hana ya kiswahili?Jani Jioni nilikutana na hiki kipindi katika luninga ya SIBUKA, ' Saa ya ufufuo na uzima' cha Pastor Josephat Gwajima [http://www.ufufuonauzimaministries.org/]. Suala lililonishangaza ni ulinzi aliyokuwa akipewa na walinzi wake waliovalia kama walinzi wa maraisi (walkie talkie radio et cetera). Je hawa 'wachungaji' wa kileo hawana imani na mazingira yao ya kazi? Naomba kueleweshwa katika hili.
Wala usishangae, haya yote Yesu aliyasema, ni dalili za mwisho wa nyakati. People have turned Jesus to big profitable businesses.
Yesu alikuwa anafuatwa na watu wengi kuliko huyo Gwajima, mbona hakuwa na mabodigadi?
Umeambiwa ujaribu kuacha mlango wako wazi kisha umuombe mungu wezi wasiibe uone! gwajima sio yesu richa ya kumuomba mungu ulinzi pia ni lazima awe na self defence kutokana na vita ya kimwili na kiroho zinazo muandama
Biblia inatueleza kuwa amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, amfanyaye kuwa ngao na kinga ya maisha yake.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Bwana asipoulinda mji waulindao wakesha bure.
Ndugu yangu listen to yourself, unayoshuhudia yanadhibitisha hoja ya waliowengi kuwa mchungaji haitaji ulinzi make Mungu anamlinda mwenyewe. Swali kama usemayo nikweli je ulinzi wa nini. kamausemayo ni kweli kuwa anawapofusha macho waliomjia kumdhuru ulinzi wa nini? So ama anaitaji ulinzi wa kidunia kwakuwa hana nguvu za kimungu za kumlinda auhaitaji ulinzi wa kidunia kwakuwa ana nguvu za kimungu za kumlinda.Jambo usillolijua sio vizuri kulitolea hukumu........!!!!!! mtumishi wa Mungu huyu kulindwa usishangae pamoja kuwa na maadui wengi sana kiroho waliojaribu hata kuumua kiroho na kuamua kumshambulia kimwili pia.....ameshawahi kutumiwa majambazi .....home kwakwe na Mungu akawapofusha macho yao wakakutana naye yeye mwenyewe na wakamuuliza wewe mtoto baba yako yupo wapi? Ameshawahi kutaka kupigwa Kisu kanisani ...ndani ya kanisa......sasa no research no wright to speak!!!