Kwani ni mchungaji yupi halindwi?.Kuna mambo ya rohoni,hufanywa kiroho,kuna mambo ya mwilini hufanywa kimwili.Paroko huwa na timu ya vijana kama wawili au wanne,mchungaji wa kilutheri huwa na wazee wa kanisa,hawa ndio walinzi.Kwa upande wa mchungaji Gwajima ni kutokana na huduma yake,anapambana na wazito waliochukua wenzao misukule,wengi wao ni vingozi wa siasa na wafanyabiashara.Hivyo kupewa ulinzi kama raisi ni sawa.Kwanini raisi alindwe?Hali kadhalika kiongozi yeyote anapaswa kuwa na ulinzi.Wala sio kusema amtumainie mwanadamu....hiyo sio sahihi.Ni haki yake kupewa ulinzi.