Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

Gwajima wa kanisa la Ufufuo na ving'ora barabarani

Niko Old Bagamoyo road nasikia ving'ora vinapigwa kutoka kwenye gari inabidi kuweka gari pembeni nikihisi ni Mheshimiwa au mgonjwa anapita nashangaa kuona Hummer nyekundu na msururu wa magari ukipita kwa kasi na hayo magari yamebandikwa Picha ya mheshimiwa askofu anakaribishwa nyumbani. Sijui huyu bwana karuhusiwa na nani kwa kutupigia ving'ora na kupita kwa kasi kama kiongozi wa nchi. Sasa hata matapeli wanajidai hii nchi sijui tunaenda wapi?
4.jpg
nini cha ajabu hata wewe waweza ukitaka.mwamini MUNGU yote yawezekana.jifikirie ulivyo.Mungu alifanya kazi ya ajabu sana kutuumba.hilo la kufufua wafu ni jepesi sana ukiwa ndani ya YESU KRISTO nae akiwa ndani yako.mwamini sasa nawe utapata ufahamu na kuujua ukweli. jina la Bwana Yesu Kristo lihimidiwe.
 
wala haiko hivyo...mimi sikuwepo hapo, lakini nimefagilia sana walivyofanya, kusema kweli nimepigiwa simu na kuambiwa yaliyotokea kwasababu mimi siko hapo bongo,,na nimefurahi sana. kama niko bongo, saa hizi ni saa nane na nusu usiku kwa saa za Dsm, nani yuko macho kwenye computer sasahivi Dar?...

unaposema nitalala nje na familia yangu, kwasababu gani? unajua kuna swali moja nilikuuliza ile majuzi kuwa "how old are you", kwasababu inaonyesha bado umri wako ni mdogo na ninaogopa kufupisha fikra zangu kujibizana na mtoto mdogo.....I wish you knew me, lakini bahati mbaya you will never know me kwasababu hapa tunatumia majina bandia...ila, nafikiri wa kulala nje ni wewe. hata kama siko miongoni mwao, I appreciate what they do, and siwezi kubisha kuwa, kile wanachofanya na mimi kimenifanya hadi nikawepo hapa kwenye nafasi niliyonayo, ambayo ni ya hali ya juu sana...nashukuru Mungu. ila nawaonea huruma watu walio mbali na upeo kama ngoshwe, kwasababu siku zote huwa wanapinga mambo ya Mungu, kwasababu tu wao ni wakatoliki.....wewe ndo utafilisika na si mimi...tupinge ndani ya miaka hii mitano nani kati yangu mimi na wewe atafisilika...you will remember these words...!!!!!!!!!!!!!

Umeandika vyema, ila huo "ukatoliki" umeharibu. Maisha ni mtu na Mungu wake na jihudi zake hakuna haja ya mashindano.
 
Pic+2.jpg


Msukule aliyerudishwa kutoka msukuleni akipitishwa na wachungaji katikati wa watu ili waweze kumuona vizuri ndani ya Nyumba ya Ufufuo na Uzima katika viwanja vya Tanganyika Packers, kawe jijini Dar es Salaam.

DSC02089.JPG


Mmoja wa misukule fresh from shamba Mohamedi Mustapha, akioneshwa mbele ya maelfu ya watu na Mchungaji Josephat Gwajima katika ibada ya ijumaa ndani ya nyumba ya ufufuo na uzima.

Pic+5.jpg


: Binti, aliyefufuka kutoka kwa wafu akishuhudia uweza na nguvu za BWANA Yesu. Binti huyu mara baada ya kufa tu kaka yake alianza kuomba maombi ya kumrudisha akilitaja jina la Yesu akisema rudisha katika Jina la Yesu na kupambana katika maombi ya nguvu kwa muda wa masaa sita(6) na hatimaye dada yake alifufuka.
Ufufuo na Uzima

walipatiwa dau la sh ngap?
 
walipatiwa dau la sh ngap?

mkuu kumbe na wewe umechungulia ukaiona hiyo kamba sio?kama anaweza kurudisha wafu kwa nini asitusaidie kuwafufua wapendwa wetu tuliowazika ktk makaburi ya kinondoni au pale sinza makaburini?huu ni utapeli na huyu gwajima ni tapeli.
 
Flora Mbasha alikuwepo kwenye msafara.....au anamsubiria hotelini.....??
 
nini cha ajabu hata wewe waweza ukitaka.mwamini MUNGU yote yawezekana.jifikirie ulivyo.Mungu alifanya kazi ya ajabu sana kutuumba.hilo la kufufua wafu ni jepesi sana ukiwa ndani ya YESU KRISTO nae akiwa ndani yako.mwamini sasa nawe utapata ufahamu na kuujua ukweli. jina la Bwana Yesu Kristo lihimidiwe.

mtu akikupungia na wewe punga, hiyo ndiyo hekma
 
umekichukia king'ora? au umemchukia alibebwa na ham'ma?
sijaona tatizo, ukiona hivyo si lazima uruhusiwe na mtu
kiongozi wa kiroho ni mkubwa kuliko, kiongozi wa kundi la wezi
hata ana kofia ya kuwa raisi, any way hii ni nchi yetu na wananchi ndiyo sisi,
hata mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama makelele ya adhana

Gwajima kiongozi wa kiroho? mbona hafanani?
 
Tanzania ni nchi iliyobarikiwa sana east africa kama sio duniani kote kwasababu ukiachalia mbali madini, gesi, mbuga, vivutio vya utalii, pia tuna manabii wana uwezo wa kufufua watu....chezea tz wewe
 
umekichukia king'ora? au umemchukia alibebwa na ham'ma?
sijaona tatizo, ukiona hivyo si lazima uruhusiwe na mtu
kiongozi wa kiroho ni mkubwa kuliko, kiongozi wa kundi la wezi
hata ana kofia ya kuwa raisi, any way hii ni nchi yetu na wananchi ndiyo sisi,
hata mimi hakuna kitu kinachoniudhi kama makelele ya adhana

umenivunja:wave: ambavu aisee:smile-big:
 
Sioni cha ajabu kwani Mamiss wanasindikizwa na msafara kuzunguka DSM, juzi bia ya ndovu ilikuwa na itifaki yake toka airport, basi ujue hakuna formula yoyote anaweza kufanya chochote hapa bongo usishangae ndugu yangu.


Ni Tz tu lakn haya mambo yanatokea, Tz ya ajabu sana, by the way nakupenda nchi yangu.
 
umenikumbusha mbali na huu usemi wa "utukufu" bila shaka anyisile ni more than a sherphard au potential sherphad....nimesikia mmehamia kawe, nikirudi tu bongo nitashinda church mwezi mzima nipigwe msasa wa Bible school, nimemiss hakika mashambulizi niliyokuwa nayafanya.....

Piga majeshi..hahaha, majeshi majeshiiii, Majeshi ya Bwana, wamepigwa wamepigwaaaaaaaaaa, wamekoma kabisaaaa...

wameshindwa vita vya rohoni, wamehamia vita vya mwilini,ukiona adui anaanza kuonekana kupiga vita vya mwilini, ujue alishashindwa muda mrefu kwenye vita vya rohoni na hapo imebaki tu udhihirisho kimwili wa adui kuaibishwa na kusurrender kabisa...Tanzania nzima imetekwa kwa nguvu ya Jina la Yesu, wachawi waganga, washirikina wasoma nyota, wakuu wa anga, wakuu wa giza falme na mamlaka za nchi mkoa wilaya hadi kijiji zinahangaika...ukombozi wa wengi umekaribia, na siku ya kuaibishwa kwa shetani na wafuasi wake imewadia....


Umesahau wafufua wafu !
 
Aisee watu wanatapeliwa jaman michango yote ile mnapigwa na jua namna hiyo?
 
Huyu fisadi tu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom