Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ana laana huyo acha timu ife tu
Ajira za wachezaji,watunza uwanja,mama ntilie,madereva, bodaboda etc zote zimepotea, siwezi hukumu upande wowote ila tunasafari ndefu sana ya soka letuWachezaji wa Timu ya soka ya Gwambina wameombwa kutafuta maisha mahali pengine , hii ni baada ya Viongozi wa Timu hiyo kuamua kuivunjilia mbali klabu hiyo
Bwana Mnyeti amesema kwamba bado anayo nia ya kuendeleza soka la Tanzania , lakini itabidi asubiri viongozi wa sasa wa TFF wamalize muda wao
Hakika mwezi Januari ni balaa !!
View attachment 2485278
Nimesikia tetesiBado yanga [emoji16]
Kakojoe ulale ww. Kaz Roho mbaya tu[emoji41][emoji41]Nimesikia tetesi
Masahihisho, sio JANUARY, ni NJAANUARY.Wachezaji wa Timu ya soka ya Gwambina wameombwa kutafuta maisha mahali pengine, hii ni baada ya Viongozi wa Timu hiyo kuamua kuivunjilia mbali klabu hiyo.
Bwana Mnyeti amesema kwamba bado anayo nia ya kuendeleza soka la Tanzania, lakini itabidi asubiri viongozi wa sasa wa TFF wamalize muda wao.
Hakika mwezi Januari ni balaa!
View attachment 2485278
Kituo kinachofuata ni? Singida Bull Shit (SBS)Wachezaji wa Timu ya soka ya Gwambina wameombwa kutafuta maisha mahali pengine, hii ni baada ya Viongozi wa Timu hiyo kuamua kuivunjilia mbali klabu hiyo.
Bwana Mnyeti amesema kwamba bado anayo nia ya kuendeleza soka la Tanzania, lakini itabidi asubiri viongozi wa sasa wa TFF wamalize muda wao.
Hakika mwezi Januari ni balaa!
View attachment 2485278
Ama kwa Hakika Mbeleko ikichanika mtoto anadondoka .
Hawana mishara na chaguzi zao rushwa tupu ulitakaje baada ya uchaguziKaria na genge lake wanathumiwa
Kwakuzd kuomba rushwa
Hili jambo tulilitarajia kutokea, mara tu baada ya Mjomba kuondoka.Wachezaji wa Timu ya soka ya Gwambina wameombwa kutafuta maisha mahali pengine, hii ni baada ya Viongozi wa Timu hiyo kuamua kuivunjilia mbali klabu hiyo.
Bwana Mnyeti amesema kwamba bado anayo nia ya kuendeleza soka la Tanzania, lakini itabidi asubiri viongozi wa sasa wa TFF wamalize muda wao.
Hakika mwezi Januari ni balaa!
View attachment 2485278
Kwamba hawa viongozi ndiyo wameichawia timu yake hadi ikajifia?Bwana Mnyeti amesema kwamba bado anayo nia ya kuendeleza soka la Tanzania, lakini itabidi asubiri viongozi wa sasa wa TFF wamalize muda wao.