Car4Sale Gx 110 inauzwa, nimeishusha bei 5.5M

TUMBOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2014
Posts
3,827
Reaction score
2,021
Nauza gari....kulingana na ugumu kwa kipindi hichi ...nmeamua kushusha bei ya gari
Gx 110
Cc 2.5
Vvti-beam

Unywaji wa mafuta ni kawaida tu sio kama watu wanavyotishana
Nasema hivi sababu nlishakua na vits ya cc1200 ivyo nikilinganisha matumizi nlivokua nikiweka mafuta kati ya gari hizi mbili tofouti ni kidogo sana

Bei ya sasa hivi 5.5M
Gari inapatikana urafik karibu na kituo cha police

0659781878

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…