Gx 110 Kuna yenye 4?
Hakuna gx 110 yenye 4 cylinder.. bali hutofautiana moja ina 1989 na nyingine ina 2.5
cc ngapiNauza gari....kulingana na ugumu kwa kipindi hichi ...nmeamua kushusha bei ya gari
Bei ya sasa hivi 5.5M
Gari inapatikana kimara mwisho
0659781878View attachment 1434375View attachment 1434377View attachment 1434378View attachment 1434379View attachment 1434381
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ndio bei zake kitambo sana.Kweli hali ngumu,kuna mwingine anauza Brevis No DGH ml.4,500,000!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anayeuza brevis kwa bei hiyo yuko wapi tumwungisheKweli hali ngumu,kuna mwingine anauza Brevis No DGH ml.4,500,000!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Yupo wapi nimkabidhi hela yakeKweli hali ngumu,kuna mwingine anauza Brevis No DGH ml.4,500,000!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuuu hadi nmefurahiHii gari nimesoteaga toka december nikiamini itafika kwenye 4.5m niichukue... naona imegoma kushuka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app