Car4Sale Gx 110 inauzwa, nimeishusha bei 5.5M

Car4Sale Gx 110 inauzwa, nimeishusha bei 5.5M

Nauza gari....kulingana na ugumu kwa kipindi hichi ...nmeamua kushusha bei ya gari
Gx 110
Cc 2.5
Vvti-beam

Unywaji wa mafuta ni kawaida tu sio kama watu wanavyotishana
Nasema hivi sababu nlishakua na vits ya cc1200 ivyo nikilinganisha matumizi nlivokua nikiweka mafuta kati ya gari hizi mbili tofouti ni kidogo sana

Bei ya sasa hivi 5.5M
Gari inapatikana Kimara Mwisho

0659781878View attachment 1434375View attachment 1434377View attachment 1434378View attachment 1434379View attachment 1434381

Sent using Jamii Forums mobile app

Gari zuri.
 
Back
Top Bottom