robert sendabishaka
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 3,111
- 3,294
tatizo ni eneo gari ilipo. kituo cha nini eti? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na badoKweli hali ngumu,kuna mwingine anauza Brevis No DGH ml.4,500,000!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Niunganishe na hao wanaouza brevisNdugu Tumbo GX 110 huwezi kuuza ml.5,500,000 mark my words!!!Brevis namba DN,DG nk zimejaa tele mitaani kwa 4,000,000 mpaka 5,000,000,nani wa kununua GX 110 namba DD kwa 5,500,000??kubali kupokea ushauri,zaidi ya hapo utaitangaza nwaka mzima hakuna wa kuinunua kwa bei hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo pesa ndio sh ngapi mkuu?Kweli hali ngumu,kuna mwingine anauza Brevis No DGH ml.4,500,000!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nmefatilia koment zako ndio tabia yako kujifanya wewe unataka kupangia watu bei...nunua yako uuze kwa bei unayoitaka.. sababu hata nikikuambia uje ununue kwa mil 1 najua huwezi kutoa nahata nikitangaza miaka mi2 kwan wewe unapungukiwa na nini wakati gari yangu na bando ni langu huchangii chochote....badilika wanaume hawana tabia kama zako. ...tena narudia badirika ukipita kwenye uzi wa mtu sio lazima u koment chochote ili uonekane wewe ni mjuajiNdugu Tumbo GX 110 huwezi kuuza ml.5,500,000 mark my words!!!Brevis namba DN,DG nk zimejaa tele mitaani kwa 4,000,000 mpaka 5,000,000,nani wa kununua GX 110 namba DD kwa 5,500,000??kubali kupokea ushauri,zaidi ya hapo utaitangaza nwaka mzima hakuna wa kuinunua kwa bei hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nmeweka namba hapo hii sio gari ya kwanza kuuza mtu aliye siriuz na uhitaji atapiga kwenye namba yangu...hao wanaoandika hapo hawana uhitajiMkuu ina maana umeshindwa kufuata watu pm wakupe hela tu? Au mnakwama wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa mkuu wengi wanaogopeshana na wanapenda kufanya vitu eti sababu fulani amesema...hawana maamuzi katika kitu wanachokifanya ....wakitaka kufanya kitu hadi wakaulize kwanza....wakati maamuzi ya mtu hutoka ndani ya mtu mwenyeweKiukweli kwa hiyo bei ni ndogo kulinganisha na aina ya gari, ni kasumba tu ya Watanzania kuogopa vitu. Lakini kwenye magari haya jamii ya Saloon, Gx Crown, Brevis, Mark X, Alteza n.k unaweza kuagiza kwa mil hata 20 lakini ukaja kuiuza mil 5 hapa Bongo maana watu wanatabia ya kuogopeshana eti zinabugia wese[emoji23][emoji23]walitaka zinywe sijui chai au supu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna aliyekuita hapa .. ....wala hakuna aliyekukulazimisha kitu hapa.... ..gari langu utanipangiaje maisha ....wewe ukiona huna hela yakununua unapita kimya kimya....Acha kuzingua watu na mikwara boya wewe Kama haliuziki si ufute post yako hapa.. liendeshe mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata nikilitangaza mwaka bado wewe halikuhusu .....kwan unaumia nn gari lako?? Mbona unatabia za kike.....nna mashaka na jinsia yakoGari umelitangaza miezi 2 sasa haliuziki!!!!narudia tena hakuna anayeweza kununua GX 110 namba DD kwa ml.5.5!!ukiuza kwa bei hiyo njoo nikuongezee na milioni moja ya Eid
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ukipita kimya kimya kuna shida, budha??Gari umelitangaza miezi 2 sasa haliuziki!!!!narudia tena hakuna anayeweza kununua GX 110 namba DD kwa ml.5.5!!ukiuza kwa bei hiyo njoo nikuongezee na milioni moja ya Eid
Sent using Jamii Forums mobile app