Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mbona nlikujibu nikakwambia ongeza kidogo iyo 4 iko chini sana....na gari iko urafik karib na kituo cha police ukihitaji kuja kuionaHii gari haiuzwi bana tunacomment tu kumaliza data. Nilitoa ofa ya 4m mwishowe naona comments zenye mrengo wa utani utani.
Sent using Jamii Forums mobile app
UmenogaKila nikifungua Jukwaa hili nakutana na tangazo la hii gari,ukweli ni kwamba kuuza GX 110 kwa ml.5.5 si rahisi,ni ushauri tu,punguza bei
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wanadam kazi sana gari inaweza kutangazwa hata mil2 bado watu wakawa na manenoKila nikifungua Jukwaa hili nakutana na tangazo la hii gari,ukweli ni kwamba kuuza GX 110 kwa ml.5.5 si rahisi,ni ushauri tu,punguza bei
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ngiloi ndio wapi watakua walikua wanaipasha maana imekaa muda bila kutumikaHii gari kama nimeiona jana kwa Ngiloi pale. Huenda mtoa mada kashaiuza bana
We uko dar kwani?Kwa ngiloi ndio wapi watakua walikua wanaipasha maana imekaa muda bila kutumika
Sent using Jamii Forums mobile app
mmh bas mi nimeiona moshi
Hii coment imefurahisha