cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie sijuiKuna kaukweli ama nadanganya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie sijuiKuna kaukweli ama nadanganya
Mbona mi sijaleft ila nyaaa yako siachiiiiiiiiiiiiiii naifiriiiimba🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie sijui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa sanaaa, Wee huogopiiiii?Mbona mi sijaleft ila nyaaa yako siachiiiiiiiiiiiiiii naifiriiiimba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuko jora moja aisee mimi nimejiamulia kutembea tu kuepusha mambo mengi maana umri ukienda bahna basi tena tunabakia watazamaji 😀 😀Kuna mazoezi huwa nayatamani ila nawaza tena aaah au basi mbona umri umeenda nikubali tu matokeo.
Hivi umri ukisogea, kuruka kichura chura haifai?Tuko jora moja aisee mimi nimejiamulia kutembea tu kuepusha mambo mengi maana umri ukienda bahna basi tena tunabakia watazamaji 😀 😀
Pole pole ina faa hupashwi kufanya kwanguvu maana baadhi ya viungo vinakuwa vimeanza kuisha nguvu.Hivi umri ukisogea, kuruka kichura chura haifai?
Kutembea kwamguu na kuvaa nguo amabazo zitakufanya utoke jasho kwa wingi na kutokuongea wakati wa mazoezi ni muhimu sana ili uzuie kupumua kwa mdomo utumie pua zaidi.Hivi umri ukisogea, kuruka kichura chura haifai?
Mambo yao waachie wenyewe...
Na ile ndio miili mizuri ambayo hata mimi nakuwacomfortable.Mimi nipo hapo kwenye cross-fitter napenda kuwa fit lakini sipendi kuwa na misuli mikubwa kama hao body builder, miaka yote mazoezi yangu yalikua ni kucheza mpira wa miguu yaani hii inajumuisha mazoezi yote uwanjani kuanzia kukimbia mdogo mdogo, kunyosha viungo n.k kwa sasa ratiba zinanibana nakosa muda wa kwenda uwanjani kila jioni ila bado nimeweza ku-maintain mwili kwa kuzingatia misosi ninayokula najiepusha sana na vyakula vyenye sukaki au mafuta mengi.Mkuu ni mazoezi gani mbadala naweza kufanya? Lengo ni kuwa na mwili wa wastani uliofit mfano wacheza mpira au wale wacheza karate wakina don yen,ton jaa n.k
Kumbe uliniandikiaga 😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa sanaaa, Wee huogopiiiii?
Ndiwoooooo!! Em tuma selfie nione hizo 6packs. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe uliniandikiaga [emoji28][emoji28]
Njoo bwana mbona mimi nimestaafu lakin nina 2hrs everday za mazoeziKuna mazoezi huwa nayatamani ila nawaza tena aaah au basi mbona umri umeenda nikubali tu matokeo.
Kuna vitu mie ni mzito sana kuvifanyaNjoo bwana mbona mimi nimestaafu lakin nina 2hrs everday za mazoezi
Mwanzoni nilipata shida ila nowdays imekua sehemu ya maisha yangu.Kuna vitu mie ni mzito sana kuvifanya
Mazoezi moja wapo, na kingine sijui diet hii ndo siwezi kabisa labda doctor anikataze kwa maandishi kula kitu flani tofauti na hapo....shughuli😃