Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.Msanii aliyewahi kuhit hapo zamani na nyimbo kazaa H.baba ametoa povu zito kwa kusema Kuna watu Wanambania Nandy na wanataka kumshuka kimuziki ili Wasanii wao wafanye vizuri.
Nini maoni yako mdau kwenye hili
Acha uongo wewe!! Tena huyo nandy alitoa rushwa ya ngono kwa marehemu[emoji125][emoji125][emoji125]Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.
Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.
WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.
Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa
Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
Kwani Zuchu alalwi na MondAcha uongo wewe!! Tena huyo nandy alitoa rushwa ya ngono kwa marehemu[emoji125][emoji125][emoji125]
Leta ushahidiKwani Zuchu alalwi na Mond
Angalia body language wakiwa pamoja..utaelewa ukiwa above 18 yrsLeta ushahidi
Eti body language[emoji1787][emoji1787] yaani zuchu aache kuimba kisa nandy, huu upuuzi hautawahi kuishaAngalia body language wakiwa pamoja..utaelewa ukiwa above 18 yrs
acha kupotosha yaani watifuane wao afu useme Babu tale...? Mandy akizubaa na atashuka. kweli karma is a bitch ssi akifurahia Ruby kushushwaDiamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.
Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.
WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.
Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa
Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
alalwi ila anamlala nandy la hitsong[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Zuchu alalwi na Mond
We billnenga...Dem wako alizoea kubebwa atulize kipapa...Kwanza limekua bongeee..nandy anaweza mzidi zuchu ila hawezi mzidi maua sama kwa akili yako Nani kabaniwa zaidi....Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.
Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.
WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka 🐍 kabisa.
Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa
Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
hiyo video aliyo vujisha babu tale ili wezaje kumfikia kwanza mpaka aka vujisha?Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.
Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.
WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.
Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa
Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
Jibu langu ni kwamba waaache kulialia wapambane the world is not fair, survival of the fittest.Msanii aliyewahi kuhit hapo zamani na nyimbo kazaa H.baba ametoa povu zito kwa kusema Kuna watu Wanambania Nandy na wanataka kumshuka kimuziki ili Wasanii wao wafanye vizuri.
Nini maoni yako mdau kwenye hili
Unjua haya mambo ya kupanda na kushushwa muda mwingine hayana maana, sometimes sijui watu wanakukubali kuwa unajua lakini hawakuchukulii serious. Ebu fikiri mtu kama lava lava, yani kati ya wasanii ambao pale WCB hawajafanya poa sana naye yumo.acha kupotosha yaani watifuane wao afu useme Babu tale...? Mandy akizubaa na atashuka. kweli karma is a bitch ssi akifurahia Ruby kushushwa