H.Baba: Kuna watu Wanambania Nandy ashuke kimziki

H.Baba: Kuna watu Wanambania Nandy ashuke kimziki

Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.

Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.

WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.

Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa

Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
Kama una akili timamu unatakiwa kujiuliza, ilikuwaje video ya faragha ya Nandy na Billnas ikamafikia adui wa Ruge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.

Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.

WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.

Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa

Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
Je babu tale ndio aliye shika kamera kuwarekodi wakati wanashikana mavi??
 
Kwa mtazamo wangu mimi, Ali Kiba ndio anataka kumshusha Nandy.
 
Huyo H BABA amekuwa Kama tarumbeta.
Ni aibu msanii mkubwa kuwa mpambe wa msanii aliyetoka juzii juzi.
Sawa kuwa mpambe basi acha kugombana na. Wasanii wenzako sababu ya tumbo
 
Zuchu ana njia zake na nandi ana njia zake.
Kazi zao ndo zitawapandisha sio kitu chochote.
Sielewi huyo zuchu anabebwa vipi wakati kuna tvs na radeos hazipigi nyimbo zake.
Huyo nandi kila redio nyimbo zake zinapigwa anashushwa vipi!?
Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.

Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.

WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.

Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa

Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
 
Kama alipandishwa basi atashushwa ila kama ana uwezo anashushwa vipi?.
 
Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.

Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.

WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.

Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa

Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
Efm, Clouds na Ea radio ni Media kubwa na ndizo zinazoongoza kum'bania Simba....huko nako Nandy atashushwaje? Fanyeni kazi msishiriki umbea ndugu zangu.
 
Unjua haya mambo ya kupanda na kushushwa muda mwingine hayana maana, sometimes sijui watu wanakukubali kuwa unajua lakini hawakuchukulii serious. Ebu fikiri mtu kama lava lava, yani kati ya wasanii ambao pale WCB hawajafanya poa sana naye yumo.
Lakini ukitazama kwa umakini dogo kuna jinsi alivyoleta impact kwenye mziki. Nikisikiliza miziki 10, 7 unakuta madogo wanaimba style ya lava lava. Lakini yeye yupo tu hapati ile hype ya maana.
Ruby aliwahi kuwa na jina lakini maybe hakujiongeza kujibrand mwenyewe ama alikosa mtu wa kumwongoza, Nandy alikuwa na ndoto kubwa. Maana kumbuka hata kuimba aliingia ili awe mashuhuri aaweze kufanya biashara ya nguo ila safari ikampeleka kweingine. Ruby anajua kuimba lakini ni wale watu wenye nyota ya kusifiwa tu halafu mambo ya kaishia hapo.
Hii si kwa bongo tu hata mbele, mfano Jorden Spark ni mkali lakini hivyo tu, hata & streeter ni mkali lakini hivyo tu.
Ushawahi jiuliza Ibra Nation na kuwa THT, amewaandikia watu wengi hit songs, anatoa nyimbo kali lakini kwanini hafiki? Watu wanasema ni mkali na ndiyo imekwisha hiyo.
Watu waache kusema wanabaniwa wapambane tu.
Ibrahnation kwa kweli sijui kimemkumba nini jamaa anaandika kinoma na kuimba anajua balaa ila tunaishia kumsifia tu .
Nna nyimbo zake almost zote
 
Ibrahnation kwa kweli sijui kimemkumba nini jamaa anaandika kinoma na kuimba anajua balaa ila tunaishia kumsifia tu .
Nna nyimbo zake almost zote
Sikiliza ngoma kali.

Hazipati nafasi.

Media zinapiga takataka tu.

 
Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.

Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.

WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka 🐍 kabisa.

Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa

Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
Sasa WCB Wana kosa gani mkuu, wao wanapambana wasanii wao wasonge mbele.... Kiufupi tu hii ilikuwa advantage Kwa Nandy kuongeza juhudi ili kukabiliana na Zuchu ambaye anaonekana ni serious threat , Kwanza Nandy ana wide range of media support compared to Zuchu , nachokiona Kwa Nandy she looks more beautiful, impressive voice but poor songwriting skills.....tatizo la wabongo hawapendi ushindani wanawaza uchawi tuu na kuona umebaniwa.....
 
Hiv Kat ya ndany na Sama nan anabaniwa??
 
Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.

Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.

WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.

Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa

Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
Ukiambiwa usibitishe tuhuma zako utaweza?
 
Back
Top Bottom