Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kama una akili timamu unatakiwa kujiuliza, ilikuwaje video ya faragha ya Nandy na Billnas ikamafikia adui wa RugeDiamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.
Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.
WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.
Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa
Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
Je babu tale ndio aliye shika kamera kuwarekodi wakati wanashikana mavi??Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.
Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.
WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.
Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa
Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
Ukiipata ni passie na mm
Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.
Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.
WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.
Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa
Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
Efm, Clouds na Ea radio ni Media kubwa na ndizo zinazoongoza kum'bania Simba....huko nako Nandy atashushwaje? Fanyeni kazi msishiriki umbea ndugu zangu.Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.
Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.
WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.
Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa
Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
Ibrahnation kwa kweli sijui kimemkumba nini jamaa anaandika kinoma na kuimba anajua balaa ila tunaishia kumsifia tu .Unjua haya mambo ya kupanda na kushushwa muda mwingine hayana maana, sometimes sijui watu wanakukubali kuwa unajua lakini hawakuchukulii serious. Ebu fikiri mtu kama lava lava, yani kati ya wasanii ambao pale WCB hawajafanya poa sana naye yumo.
Lakini ukitazama kwa umakini dogo kuna jinsi alivyoleta impact kwenye mziki. Nikisikiliza miziki 10, 7 unakuta madogo wanaimba style ya lava lava. Lakini yeye yupo tu hapati ile hype ya maana.
Ruby aliwahi kuwa na jina lakini maybe hakujiongeza kujibrand mwenyewe ama alikosa mtu wa kumwongoza, Nandy alikuwa na ndoto kubwa. Maana kumbuka hata kuimba aliingia ili awe mashuhuri aaweze kufanya biashara ya nguo ila safari ikampeleka kweingine. Ruby anajua kuimba lakini ni wale watu wenye nyota ya kusifiwa tu halafu mambo ya kaishia hapo.
Hii si kwa bongo tu hata mbele, mfano Jorden Spark ni mkali lakini hivyo tu, hata & streeter ni mkali lakini hivyo tu.
Ushawahi jiuliza Ibra Nation na kuwa THT, amewaandikia watu wengi hit songs, anatoa nyimbo kali lakini kwanini hafiki? Watu wanasema ni mkali na ndiyo imekwisha hiyo.
Watu waache kusema wanabaniwa wapambane tu.
Ibrahnation kwa kweli sijui kimemkumba nini jamaa anaandika kinoma na kuimba anajua balaa ila tunaishia kumsifia tu .
Nna nyimbo zake almost zote
Sikiliza ngoma kali.Ibrahnation kwa kweli sijui kimemkumba nini jamaa anaandika kinoma na kuimba anajua balaa ila tunaishia kumsifia tu .
Nna nyimbo zake almost zote
Sasa WCB Wana kosa gani mkuu, wao wanapambana wasanii wao wasonge mbele.... Kiufupi tu hii ilikuwa advantage Kwa Nandy kuongeza juhudi ili kukabiliana na Zuchu ambaye anaonekana ni serious threat , Kwanza Nandy ana wide range of media support compared to Zuchu , nachokiona Kwa Nandy she looks more beautiful, impressive voice but poor songwriting skills.....tatizo la wabongo hawapendi ushindani wanawaza uchawi tuu na kuona umebaniwa.....Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.
Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.
WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka 🐍 kabisa.
Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa
Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.
Unaonaje ukaanza wewe kuleta ushahidi wa NandyLeta ushahidi
wote wasanii wa ccm wakwende zao hukoHiv Kat ya ndany na Sama nan anabaniwa??
Uchaguz ukiisha waanze kutembeza mabakuliwote wasanii wa ccm wakwende zao huko
Ukiambiwa usibitishe tuhuma zako utaweza?Diamond anataka wamshushe Nandy ili wamweke Zuchu kwenye ramani.
Walianza na Gigy wakamtumia akamtukana, ila naona watu wamepuuza ila bado wanakomaa naye tu.
WCB ni shetani. Binafsi tangu babu Tale avujishe ile video ya Nandy na Billnass eti kwa kuwa tu wana beef na Ruge nikawaona Joka [emoji216] kabisa.
Hii siyo biashara ni uovu na uchawi mkubwa
Ingawa Nandy mwenyewe alipandishwa kumreplace Ruby ila kwasasa sioni kosa la Nandy.