Sasa WCB Wana kosa gani mkuu, wao wanapambana wasanii wao wasonge mbele.... Kiufupi tu hii ilikuwa advantage Kwa Nandy kuongeza juhudi ili kukabiliana na Zuchu ambaye anaonekana ni serious threat , Kwanza Nandy ana wide range of media support compared to Zuchu , nachokiona Kwa Nandy she looks more beautiful, impressive voice but poor songwriting skills.....tatizo la wabongo hawapendi ushindani wanawaza uchawi tuu na kuona umebaniwa.....