mtafuta-maisha
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 1,982
- 2,931
Anapambana na hali yake....hahhahaha mi ndio siwezigi kumsifia mtu ili anione utaishia kumbwela mbwela ili akuone mwisho wa siku unarudia kumchukia. Kuwa real sifia kutoka koyoni
We unajua miziki ya Kiki. Watu wametulia wanafanya mambo. Naona ukienda ata kwa Juma nature utasema hana elaAnafanya ishu gani siku hizi? Maana biashara ya muziki wa kujenga nyumba hii hana.
anawanenguliaga ehhhIla jamaa anajua kunengua
Endelea kujipa moyo mkuu...Hivi definition ya nyumba nzuri ni nn!?? Eti me huwa naona ni usingizi tu...!!! Maana hata ukijenga nyumba ya 10billioni,si utakuwa unaingia kulala tu sawa na mwenye nyumba ya tope yenye makuti,wote mnapitiwa na usingizi!!
Sijawahi kumsikia Diamond akisema vipi vyake na vipi sio vyake!wasanii wa bongo wanaposti posti vitu vya watu na kujikweza kuwa vyao mfano chibu perfume, karanga na wasafi tv
Kujipa moyo vp mkuu!!? Me nimeuliza,na hizo fikra ulizonazo ww ndo fikra za watanzania wengi. Me nakupa mfano,yule lugumi zile nyumba zake za thamani ya bilioni 1,zimemsaidia nn!?? Vp hiyo bilioni angejenga apartment!?? Kwa siku angekuwa na uwezo wa kuingiza si chini 5ml. Ambayo ni 15ml. Kwa mwezi na 180mil. Kwa mwaka. Yaani ukijenga nyumba ya kuishi kwa milioni 100. Na mwingine akajenga ya milioni 7. Tofauti yenu ni nini!?? Maana wote mnaingia kulala tu humo na wote mnapitiwa usingizi...!!!Endelea kujipa moyo mkuu...
Kuna kipindi,alikua anàtengeneza pipi huko kenyaKama anaweza post kitu si chake atakuwa fala sana, ila we never know labda jamaa ana deal nyingine za maana.
mawazo ya kimaskini hayo unajipongeza na fanta hapo ulipoHivi definition ya nyumba nzuri ni nn!?? Eti me huwa naona ni usingizi tu...!!! Maana hata ukijenga nyumba ya 10billioni,si utakuwa unaingia kulala tu sawa na mwenye nyumba ya tope yenye makuti,wote mnapitiwa na usingizi!!
Nakuelewaga sana mkuuHivi definition ya nyumba nzuri ni nn!?? Eti me huwa naona ni usingizi tu...!!! Maana hata ukijenga nyumba ya 10billioni,si utakuwa unaingia kulala tu sawa na mwenye nyumba ya tope yenye makuti,wote mnapitiwa na usingizi!!
Kwa mtazamo wako wewe nyumba ni usingizi tu? Basi jenga banda tu ulale? Wenzio wanakazana kuhakikisha vitu vyote vinapatikana ndani ya majumba yao kuanzia movie theater, baa counter, indoor swimming pool, saloon ya nywele, uwanja wa basketball wa ndani, club ya dansi ya ndani, gym ya mazoezi, chumba cha pool table na table tenis, casino ndogo, chumba cha ofisi, sebule nne, vyumba vya self vitano, majiko mawili, lift ya ndani, chumba cha msikiti/kanisa, chumba cha jacuzzi na sauna, dining room tatu n.k ndani ya jengo moja wewe unawaza nyumba ni kitanda tuu.Kujipa moyo vp mkuu!!? Me nimeuliza,na hizo fikra ulizonazo ww ndo fikra za watanzania wengi. Me nakupa mfano,yule lugumi zile nyumba zake za thamani ya bilioni 1,zimemsaidia nn!?? Vp hiyo bilioni angejenga apartment!?? Kwa siku angekuwa na uwezo wa kuingiza si chini 5ml. Ambayo ni 15ml. Kwa mwezi na 180mil. Kwa mwaka. Yaani ukijenga nyumba ya kuishi kwa milioni 100. Na mwingine akajenga ya milioni 7. Tofauti yenu ni nini!?? Maana wote mnaingia kulala tu humo na wote mnapitiwa usingizi...!!!
Hivi pesa unaitafuta kwa ajili gani? Iendelee kuzaana huku wewe ukiishi maisha ya tabu au ikuhudumie.Endelea kujipa moyo mkuu...
Mkuu !!Kukata Kiuno Kumemtoa Mshkaji