H. Baba msanii mwenye Jumba kali kuliko wote Tanzania

H. Baba msanii mwenye Jumba kali kuliko wote Tanzania

Hivi definition ya nyumba nzuri ni nn!?? Eti me huwa naona ni usingizi tu...!!! Maana hata ukijenga nyumba ya 10billioni,si utakuwa unaingia kulala tu sawa na mwenye nyumba ya tope yenye makuti,wote mnapitiwa na usingizi!!
Wasalimu wachawi wenzio mkuu
 
Ukishaoa ukawa na msimamo na ndoa yako na familia yako, huwezi kufanya ujinga unapopata pesa.

Hongera yake kwa kujitambua.
 
Hivi pesa unaitafuta kwa ajili gani? Iendelee kuzaana huku wewe ukiishi maisha ya tabu au ikuhudumie.
Ndiyo kuna tofauti kubwa ya anayelala kwenye nyumba ya milion 7 na anayelala kwenye nyumba ya milioni 200.
Nyumba ya milion 200, itakuwa na AC so joto halikutesi, itakuwa na heater za maji so waoga maji moto, itakuwa mpangilio mzuri ndani ukikaa hata nafsi yako inafurahi, itakuwa na vyumba vipana hewa ya kutosha ukilala walala usingizi usio na mashaka mashaka ya kung'atwa na wadudu, itakuwa na security systems vibaka wadokozi hawapiti ovyo ovyo.
Ni kujipa moyo kusema usingizi wa nyumba ya udongo na nyumba ya mls 200 unafanana.
Kuna usingizi na usingizi murua.
Hata vits ni gari ila anaye ride kwenye meredes benz ya mwaka 2017 anaenjoy zaidi japo zote zinawafikisha mwendako ila mwenzako anafika in a style.
Same applied to nyumba, kama una ela jenga mjumba bwana maana kazi ya pesa si kuzaana tu, itumie pia kuishi vizuri.
Kwani hayo mahitaji huwezi kuyaweka kwenye nyumba ya kawaida ya vyumba 2!?? Hv umewahi kujenga au unatamani tu..!!?? Hv hotel kwa mfano zenye apartment,zinajengwaje maana ukichukua apartment unakuta kila kitu na unasifia hiyo hotel. Na hapo unakuwa umelipia pengine elf 80 kwa usiku 1 ambayo ni sawa 2.4 mil. Kwa mwezi. Hayo unayowaza km nilivyokueleza mwanzo,ni mawazo ya kiafrica. Unaweza kujenga ghorofa ya bilioni 1 yenye apartment 50 tu. Ww unachukua mbili kwa ajili ya familia yako,zingine zote 48 unazifanya za biashara za kukuingizia mamilioni ya shilingi kila mwezi. Yaani uweke 1billioni kwenye nyumba ya kuishi halafu uwe unaingia tu humo unalala kisha unatoka!?? Matumizi mabaya kabisaa ya AKili...wachunguze matajiri wote waliopata hela kwa halali..yaani siyo za wizi,utapeli,madawa wala ufisadi km wana huo ujinga! Ujinga huo unafanywa na mtu anayepata hela za ghafla...!!
 
Hivi huyujamaa ni mtanzania kweli? Mbona ana mandevu uso mzima!! Naomba uhamiani wamuite atuoneshe cheti cha baba, babu, bibi na baba yake babu
Pia huwa nahisi jamaa anatumia yale mamiti waliyoagiza polisi wasiyakate
nilikuwa nawaza tu waungwana
 
Hivi huyujamaa ni mtanzania kweli? Mbona ana mandevu uso mzima!! Naomba uhamiani wamuite atuoneshe cheti cha baba, babu, bibi na baba yake babu
Pia huwa nahisi jamaa anatumia yale mamiti waliyoagiza polisi wasiyakate
nilikuwa nawaza tu waungwana
Ovyooooo huu ubaguzi kauanzisha nani na kwa manufaa yepi? Pumbaf
 
Nope hiyo ni nyumba ya kawaida.
Na nimpongeze kwa achievement hiyo ukizingatia kuna makatibu wakuu mpaka wana staafu wamepanga.

NB:Super Nyamwela ndie msanii mwenye nyumba kali sana nadhani kuliko wote.
 
Back
Top Bottom