Hivi pesa unaitafuta kwa ajili gani? Iendelee kuzaana huku wewe ukiishi maisha ya tabu au ikuhudumie.
Ndiyo kuna tofauti kubwa ya anayelala kwenye nyumba ya milion 7 na anayelala kwenye nyumba ya milioni 200.
Nyumba ya milion 200, itakuwa na AC so joto halikutesi, itakuwa na heater za maji so waoga maji moto, itakuwa mpangilio mzuri ndani ukikaa hata nafsi yako inafurahi, itakuwa na vyumba vipana hewa ya kutosha ukilala walala usingizi usio na mashaka mashaka ya kung'atwa na wadudu, itakuwa na security systems vibaka wadokozi hawapiti ovyo ovyo.
Ni kujipa moyo kusema usingizi wa nyumba ya udongo na nyumba ya mls 200 unafanana.
Kuna usingizi na usingizi murua.
Hata vits ni gari ila anaye ride kwenye meredes benz ya mwaka 2017 anaenjoy zaidi japo zote zinawafikisha mwendako ila mwenzako anafika in a style.
Same applied to nyumba, kama una ela jenga mjumba bwana maana kazi ya pesa si kuzaana tu, itumie pia kuishi vizuri.