Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu aweke wepesi .Mimi nawambia huyu kijana ana nguvu ya Trump na anamwondoa madarakan Mseveni
Sahiv hataweza kumdhuru sana maana atakuwa anatizamwa na mataifa ya nje. Anajua akigusa tu basi huko nje watafaham nani muhusikaMuseveni awe macho, akimgusa ameguswa!
Kinachonishangaza ni kuwa M7 aliingia msituni baada kuibiwa kura 1986 na General Okello na akafanikiwa akidai ndio mwisho wa dhulma ile. Lakini yeye kawa zaidi ya mbaya. Africa mashariki hovyo bora kidogo sasa Africa magharibi kuna ECOWAS. Madikteta huko huonyeshwa mlango.Mimi nawambia huyu kijana ana nguvu ya Trump na anamwondoa madarakan Mseveni
see post #8Bobi Wine amchukue Tundu lissu awe best-man wake katika kutoa hio speech[emoji18]
see post #8Aisee...
Lissu nae aalikwe jamani.
Kinachonishangaza ni kuwa M7 aliingia msituni baada kuibiwa kura 1986 na General Okello na akafanikiwa akidai ndio mwisho wa dhulma ile. Lakini yeye kawa zaidi ya mbaya. Africa mashariki hovyo bora kidogo sasa Africa magharibi kuna ECOWAS. Madikteta huko huonyeshwa mlango.
Tena kama vipi tuwachangie hata hela za stationary kama watahitaji kutoa toa photocopy na peni [emoji122]Lisu wasiliana naye msaidie kuandaa presentation yake akihusisha/akichomeka na ishu yako ( fate zenu ni sawa) na urafiki wa madikiteita watatu MwanaHabari , that could be a marvelous presentation Mwanahabari Huru
Seen... Thanks.see post #8
K*mar.Sidhani kama hilo tangazo ni la kweli,taasisi muhimi kama hiyo hawawezi kuandika jina hilo kwenye document yao lazima wangeandika jina lake halisi siyo nick name.!
Ndani ya bunge la Uingereza ameitwa Bobi Wine na kila mtu ameona , kwahiyo tunakuomba uwe na amani mkuuSidhani kama hilo tangazo ni la kweli,taasisi muhimi kama hiyo hawawezi kuandika jina hilo kwenye document yao lazima wangeandika jina lake halisi siyo nick name.!
Ni kweli east Afrika ndio ukanda masikini na hovyo kiutawala kuliko kanda zote za mabara ya dunia hiiEast Africa imekuwa ya kusenge kinomaarr...
M7 mseng ...