Yasoda Rajab
Member
- Jul 17, 2013
- 24
- 5
Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu inategemea kukamilisha na kutoa majina ya vijana waliobahatika kupata mkopo wiki ya pili ya mwez wa kumi. hayo yalizungumzwa na mkurugenzi msaidizi kitengo cha habari cha heslb bwana cosmas mwaisombwa. alisema "hadi sasa upangaji umekamilika asilimia 90 hadi kufikia wiki ya pili ya mwezi wa kumi mchakato utakuwa tayari umekamilika" nawashilisha... source..http/:habarileo.go.tz
acha ujuaji wewe hata mjini haupajui
Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu inategemea kukamilisha na kutoa majina ya vijana waliobahatika kupata mkopo wiki ya pili ya mwez wa kumi. hayo yalizungumzwa na mkurugenzi msaidizi kitengo cha habari cha heslb bwana cosmas mwaisombwa. alisema "hadi sasa upangaji umekamilika asilimia 90 hadi kufikia wiki ya pili ya mwezi wa kumi mchakato utakuwa tayari umekamilika" nawashilisha... source..http/:habarileo.go.tz
uo ni uongo.
mkipewa habari za kweli mnasema uungo! Mnataka za uuongo haya yanatoka leo
mkipewa habari za kweli mnasema uungo! mnataka za uuongo haya yanatoka leo
Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu inategemea kukamilisha na kutoa majina ya vijana waliobahatika kupata mkopo wiki ya pili ya mwez wa kumi. hayo yalizungumzwa na mkurugenzi msaidizi kitengo cha habari cha heslb bwana cosmas mwaisombwa. alisema "hadi sasa upangaji umekamilika asilimia 90 hadi kufikia wiki ya pili ya mwezi wa kumi mchakato utakuwa tayari umekamilika" nawashilisha... source..http/:habarileo.go.tz
Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu inategemea kukamilisha na kutoa majina ya vijana waliobahatika kupata mkopo wiki ya pili ya mwez wa kumi. hayo yalizungumzwa na mkurugenzi msaidizi kitengo cha habari cha heslb bwana cosmas mwaisombwa. alisema "hadi sasa upangaji umekamilika asilimia 90 hadi kufikia wiki ya pili ya mwezi wa kumi mchakato utakuwa tayari umekamilika" nawashilisha... source..http/:habarileo.go.tz
hongera wewe unayeishi mjini too coco bruteee...acha ujuaji wewe hata mjini haupajui
Nyinyi wengine mnakuaga na hamu ya mitusi tu,wapo waliokuja na taarifa za tarehe20, eti source babu zao vigogo wa loan board siku imefika wanaona aibu ata kufungua thread zao,ss na ww unahamu ya kutukanwa sasa ole wako matokeo yatoke kabla Ya iyo tarehe.