Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,208
- 2,767
mkuu mbavu zangu niachie looo nimechekaje
Mkuu umecheka, umefurahi lakn cha kushagaza sijaona like yako.
au unafikiri na mimi ni mzee majuto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu mbavu zangu niachie looo nimechekaje
Umerudi ulikua wapi ?
Umerudi ulikua wapi ?
Hahaha hivi ulipigwa ban ama? Longtime not seen here
ha ha ah ni picha tu imenitoa hivo ,afu mbona umeuliza gari pekee??Usoni umekuaje?Na hilo ndio gari lako?
Karibu mbeba pochi wa Nasibu
coke baridiiiiiKaribu...unatumia kinywaji gani?
Alafu ile status yake sasa...mi hoooi...
Hahah labda kaiweka makusudi au aliiangalia akaona ametokelezeamo saaana!
we binti nilikumiss ujuwe,hujambo lakiniheaven on desert yaan sisi tukaanza kazi yako humu jamvini ya kukusaidia bosi wako kuzomewa mpaka basii
Njoo ujibu maswali yetu yooteeee
Hiyo picha ya kwanza umejipaka manini sasaa naweee unatuaibisha sasaaa
coke baridiiiii
Ulikuwa wapi?
a was busy na kazi zingine maa
we binti nilikumiss ujuwe,hujambo lakini