Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Songa anao 5000 lakini walionunua mix tape hawafik bukuKiba inabidi ajipange aongeze followers kwenye accounts zake za social networks hao followers ni wachache sana kwa mwanamuziki mkubwa.
Wanamuangusha sana.
mbinu gani atumie sasa?followers wengi wanapenda umbea au wapate story design flani na kiba siyo wa maisha hayo!siku pekee ali kiba alipata followers wengi ni alivyokuwa anakaribia kurelease ngoma zake!..kwa sasa labda akikaribia kudondosha kichupa na anaweza kupata follower wengi!......kumfananisha kiba na diamond kwa sasa nje ya music ni kumuonea kiba!diamond maisha yake ni sinema halafu katika suala la followers diamond anakusanya followers wake mwenyewe na wa wema sepetu,hapo bado followers wa vitorondo wake kina esma plutnumz!hapo bado hashtags za wanamuziki wakubwa na awards anazogombania ambao akiwa mentioned IG watu wasiomjua wanamfollow
Wewe ni Wema Sepetu?
Kiba posts 254 following 0
Dangoti 1452 following 314
haiwwwezekani kutoa like kwa kila like unayopokea. unamfollow anayekupendeza.Siku zote watu wenye fikra hafifu hawawezi fikiri nje ya box...
Kuto kufollow MTU hata mmoja ni heri kuliko kuffollow watu wachache miongoni mwa followers wengi...
Kama MTU upo okay follow wote ili ku balance equation....
MTU Una followers laki mbili then unafollow 300 inamaanisha unabagua na kudharau wale usiowafollow...
Ukiamua kutofollow yeyote hii inaleta usawa na kuondoa segregation....
Kwa watu wepesi ni vigumu kuelewa hayo...
BTW sio ishu ya kuifungulia thread.....
Nadhani ni maamuzi yao tuu...na mashabiki pia kuwatengenezea bifu inachangia.
mbinu gani atumie sasa?followers wengi wanapenda umbea au wapate story design flani na kiba siyo wa maisha hayo!siku pekee ali kiba alipata followers wengi ni alivyokuwa anakaribia kurelease ngoma zake!..kwa sasa labda akikaribia kudondosha kichupa na anaweza kupata follower wengi!......kumfananisha kiba na diamond kwa sasa nje ya music ni kumuonea kiba!diamond maisha yake ni sinema halafu katika suala la followers diamond anakusanya followers wake mwenyewe na wa wema sepetu,hapo bado followers wa vitorondo wake kina esma plutnumz!hapo bado hashtags za wanamuziki wakubwa na awards anazogombania ambao akiwa mentioned IG watu wasiomjua wanamfollow
mbinu gani atumie sasa?followers wengi wanapenda umbea au wapate story design flani na kiba siyo wa maisha hayo!siku pekee ali kiba alipata followers wengi ni alivyokuwa anakaribia kurelease ngoma zake!..kwa sasa labda akikaribia kudondosha kichupa na anaweza kupata follower wengi!......kumfananisha kiba na diamond kwa sasa nje ya music ni kumuonea kiba!diamond maisha yake ni sinema halafu katika suala la followers diamond anakusanya followers wake mwenyewe na wa wema sepetu,hapo bado followers wa vitorondo wake kina esma plutnumz!hapo bado hashtags za wanamuziki wakubwa na awards anazogombania ambao akiwa mentioned IG watu wasiomjua wanamfollow
Songa anao 5000 lakini walionunua mix tape hawafik buku
Nasikia nayeye ni diaspora huyo ndo najiuliza kwa reasoning hiyo anaweza changia nini katika maendeleo ya nchi?
unakuta MTU na elimu yake anapoteza mda kuchambua upuuzi....
Ndio nimeshindwa hata kumuelewa kabisa.
Wakuu nimewaelewa sana,peace!Siku zote watu wenye fikra hafifu hawawezi fikiri nje ya box...
Kuto kufollow MTU hata mmoja ni heri kuliko kuffollow watu wachache miongoni mwa followers wengi...
Kama MTU upo okay follow wote ili ku balance equation....
MTU Una followers laki mbili then unafollow 300 inamaanisha unabagua na kudharau wale usiowafollow...
Ukiamua kutofollow yeyote hii inaleta usawa na kuondoa segregation....
Kwa watu wepesi ni vigumu kuelewa hayo...
BTW sio ishu ya kuifungulia thread.....