Ha ha ha mwalimu oyee..!!

kama we ni mwana mama na umeandika hivi poa...ila kama ni jinsi ya ME pole sana

Ahsante mi dume kama jike halijaolewa kwenu niite...

BTW kitanda usicholalia huwajui kunguni wake...
 
Si kosa lako kijana

Ha ha ha mkuu nimekutania tuuuu ni siku nyingi ujue halafu juzi niliingia jela kwa muda nikatoka vipi naona nimekutania kidogo tu huko juu mitikisiko ishaanza...
 
Ha ha ha mkuu nimekutania tuuuu ni siku nyingi ujue halafu juzi niliingia jela kwa muda nikatoka vipi naona nimekutania kidogo tu huko juu mitikisiko ishaanza...

Tatizo una maneno mengi sana, uko poa lkn? Cell kupoje hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…