Ha ha ha mwalimu oyee..!!

Ualimu ni kazi kama kazi nyingine,na wanastahili malipo ya kutosha na mazingira bora ya kazi kama kada zingine!
Ualimu ni wito?
Nani kasema!

ulichoandika hapa na jina lako havifanani haya badilisha haraka hiyo id! Sijui nikupe nini??em chagua... !! Washasikia !! safi sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…