DZUDZUKU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2012
- 3,909
- 2,115
Mwalimu shikamoo...nitakuwa mratibu wako na watch man kuangalia tabia na mienendo yako kabla ya kupata post hiyo na baada...nataraji malalamiko ya kucheleweshewa salario na miundombinu duni ya kufundishia yatakuwa mengi toka kwako...by the way nikuulize swali la kizushi...vipi, uwepo wako mbele ya mujini hapa si ndo mwanzo wa kuanzisha koloni lingine na kumweka pending huyu bwana boss for good? Au yeye yupo nyuma ya mabadiliko haya uliyofanyiwa kuhamishiwa kituo bora?
Ndugu unautani sana aisee..............