Ha ha haaaaaa ni Mulugo tena!

Status
Not open for further replies.
Mkuu.
Haya matokeo yame sahihishwa kikanda na matokeo hayo huwa hayawekwi kwenye tovuti ya Necta.

Nakushauri ufuatilia matokeo hayo kwa kanda husika.

Ubarikiwe mpaka upigwe na butwaa!
HAHAHA na mimi natamani kubarikiwa
 
we ndio kiraza mkuu kwani mara sio kanda ya ziwa???? hilo neno thaqaafa hata wewe ungekosea kwani ni mwarabu huyo hebu fanyeni vitu vya msingi bas au kama vipi muombeee baba yako apewe uwaziri na JK
 

Wamechakachua live.
 

Umasikini utaondoka tukianzia na elimu. Huwezi kuondoa unasikini kwenye taifa ambalo elimu ni duni, na isiyo na mwelekeo na yenye kuyumbishwa kila leo.Tatizo mmeingiza siasa hadi kwenye vitu muhimu kama elimu, itaigharimu sana nchi hii. Km leo mwanafunzi anapata 70/250 anaitwa amefaulu, na km shule inaletewa wanaunzi wanoambiwa eetii wamefaulu kwa alama zaa juu sana, alafu hata kuandika ni tabu.

Kila nikiushirikisha ubongo wangu kikamilifu nashindwa kupata majibu.
 

Sidhani kama atakuwa na uthubutu wa kufanya hivyo. Let us wait and see.
 
Mi sina uhakika ila nasikia kuna naibu waziri wa elimu,kabla yake alikua STD 7 leaver,mwalimu wa UPE,sasa ni Regional commissioner.Hayakuanza leo atii.
:confused2:
 

Mch. Msigwa alishasema, "akili ndogo haiwezi kuongoza akili kubwa".
Mkuu huyu jamaa hata mimi nilimuona akiangaika kutamka, nilijiuliza maswali mengi sana...
Huyu jamaa ni kiazi kabisa...
 
hivi ni kwa nini matokea yanatangazwa kwa kusema shule kumi bora za serikali na binafsi kwani mitihani inakuwa na utofauti au ndiyo utaratibu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…