Vp tuongeze sauti au inatosha?Atoke uko uchochoroni aende timu kubwa akutane na presha ya timu kubwa ili atambe na sifa atakazo pewa zitakuwa kubwa. Uko vichchoroni ata Kama unaupiga mwingi sifa haziwi nyingi.
Alafu mahesabu yake ya kupokea mipira sasa utayaelewa? na kuyatumia kutandika mabao kwa staili ambazo huwezi jua atazitumiajeJamaa ana nguvu nyingi, speed halafu ni tall unamkabaje sasa
Ongeza sauti. Haaland n wa kawaida sana sema watu kama nyie ndo mnampaisha tu mi naona hajui kabisa mpira anarukaruka kama bata uwanjaniHalaand wa kawaida tu ni swala la muda.
Dah the Boss huu uzi ni wa mwaka mmoja uliopita. Umetisha GTAt 21, Erling Haaland has already scored more Champions League goals than:
Ronaldo ๐ง๐ท
Michael Owen ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ
Francesco Totti ๐ฎ๐น
Fernando Torres ๐ช๐ธ
Nicolas Anelka ๐ซ๐ท
Harry Kane ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ
David Villa ๐ช๐ธ
Ronaldinho ๐ง๐ท
Adriano ๐ง๐ท
Ronaldinho ๐ง๐ท
Zinedine Zidane ๐ซ๐ท
Romario ๐ง๐ท
Huyu dogo hapo bado hajachezea timu zenye kutengeneza nafasi nyingi ..kama Liverpool au Man city au Psg Barca au Madrid keshavunja rekodi tele kama hivi..
Huyu dogo anatisha sana
Hupo mkuu?Atoke uko uchochoroni aende timu kubwa akutane na presha ya timu kubwa ili atambe na sifa atakazo pewa zitakuwa kubwa. Uko vichchoroni ata Kama unaupiga mwingi sifa haziwi nyingi.