Haaland anatisha sana

Dogo ameifanya Man City iwe tishio kwa timu nyingi, hata ukijaribu kuibana Man City Dogo keshatupia
 
Dah the Boss huu uzi ni wa mwaka mmoja uliopita. Umetisha GT
 
Atoke uko uchochoroni aende timu kubwa akutane na presha ya timu kubwa ili atambe na sifa atakazo pewa zitakuwa kubwa. Uko vichchoroni ata Kama unaupiga mwingi sifa haziwi nyingi.
Hupo mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ