Mbona anamiliki mipira sita ya hatrick?. Yeye kazi yake ni kufunga sio kumiliki mpira. Kazi ya kumiliki mpira ni ya wengine sio Haaland.Analijua goli ila uwezo wake wa kumiliki mpira upo chini
Ndio kaanza msimu wa kwanza kawa top scorer. Yani kaadapt mapema Sana. Kama halijui goli huo utoo scorer kaupataje?. Punguza negativity. Mtu kaanza kutisha akiwa salburg, mpaka Dortmund wewe unadai hajui goli?. Unataka afunge magoli mia?Hata goli halijui kihivyo. Siamini kama atakaa city muda mrefu, watamsepesha
Miaka mingine walishindwaje? Haaland kacontribute pakubwa city kuchukua treble. Tupunguze unuaji.Wangeweza kushinda bila yeye
Hizo chances mastriker wengine waliotangulia walishindwaje kuzipata. Ingekuwa Haaland kaja kuamkia City ningekubliana na wewe, lakini jamaa kaanza kufunga akiwa na timu zingine kabla ya city. Tatizo ukishakuwa juu, haters hawakosi.Hata sio finisher mzuri. Nimemfatilia sana, chances anazopata ndio nyingi
Sio kweli. Ni msimu wa kwanza bado hajazoea ligi na pia inawezekana ni mfumo wa kocha aliuweka hivyo, subiri azoee ligi.Halaand hana makeke[emoji23][emoji23]. Ila goli anajua kuliona.
Akikosa wachezaji wa kumlisha hana utofauti na Kibu Denis
Akina Sterling na Jesus walizungukwa na Nani?. Halafu kule Dortmund alizungukwa na Nani mpaka akawa mshambuliaji hatari. Haaland ni tishio.Angalia na watu wanaomzunguka,
Ila ndio top scorer na EPL record holder wa kufunga magoli mengi msimu mmoja. Sasa sijui unataka Nini.Sio mzuri kwenye kufunga
Unasema hamna kitu hiyo ni dharau Sana. Washambuliaji wangapi wamepita City ukimuondoa Aguero, wanauwezo kumzidi haaland.Jesus hakucheza mechi nyingi, hata hivyo tunaposema Haaland hamna kitu haina maana amaepitwa uwezo na kila mchezaji
So kuanzia Salzburg na Dortmund alikuwa anazungukwa na akina bernado Silva?. Mnavyoongea Ni Kama Haaland kaanza uhatari wake City. Haaland angecheza timu yeyote bado angekuwa hatari Kama alivyokuwa Dortmund.Naukuunga mkono mtoa mada huyu jamaa kinachombeba ni watu wanaomzunguka man city anacreate nafasi nyingi za kufunga hata uwe lukaku huwezi kosa goli 25 kwa msinu
Haland bila KDB Kibu Denga ana afadhali.Unpopular opinions; Wengi wanaamini Haaland ni mchezaji mzuri sana, ni forward hatari sana, lakini napenda kuwaambia Haaland ni mzigo mzito ndani ya Man City.
City wakiwa na Haaland mbele wanakuwa pungufu tayari, sahau kuhusu magoli yake 36 ambapo kama angekua ni mzuri zaidi basi tungekua tunazungumzia magoli 50.
Haaland anaikaba City, pamoja na ubora wao City mwaka huu walikua na bahati pia. Nina imini City wangekuwa wazuri zaidi kama angekuwa mtu mwingine ile nafasi ya Haaland. Hata Foden au Bernardo wangecheza nafasi ya Haaland, City wangekua bora zaidi ya hapa.
Haitachukua muda mrefu Haaland kuchemka City na kuondoka. Haaland hatafanya vizuri sana City, ataondoka ndani ya misimu miwili ijayo.
View attachment 2657407
Akina Sterling na Jesus walizungukwa na Nani?. Halafu kule Dortmund alizungukwa na Nani mpaka akawa mshambuliaji hatari. Haaland ni tishio.
So kuna mchezaji anafunga bila kuzungukwa na wenzake?Unauliza Haaland Dortmund alizungukwa na nani? Are you serious?
Nimecheza sana soka, nipo vizuri mnoMuongo hata chandimu walikuwa hawakupi namba, kazi yako ilikuwa kuokota mpira [emoji12]
Tutajie hata kombe la mbuzi moja ulilowai kushiriki??
Kajisaidie ukalaleUnpopular opinions; Wengi wanaamini Haaland ni mchezaji mzuri sana, ni forward hatari sana, lakini napenda kuwaambia Haaland ni mzigo mzito ndani ya Man City.
City wakiwa na Haaland mbele wanakuwa pungufu tayari, sahau kuhusu magoli yake 36 ambapo kama angekua ni mzuri zaidi basi tungekua tunazungumzia magoli 50.
Haaland anaikaba City, pamoja na ubora wao City mwaka huu walikua na bahati pia. Nina imini City wangekuwa wazuri zaidi kama angekuwa mtu mwingine ile nafasi ya Haaland. Hata Foden au Bernardo wangecheza nafasi ya Haaland, City wangekua bora zaidi ya hapa.
Haitachukua muda mrefu Haaland kuchemka City na kuondoka. Haaland hatafanya vizuri sana City, ataondoka ndani ya misimu miwili ijayo.
View attachment 2657407
Nimecheza sana soka, nipo vizuri mno
niki wa pili hujui mpira wewe mshabikie mama tuUnpopular opinions; Wengi wanaamini Haaland ni mchezaji mzuri sana, ni forward hatari sana, lakini napenda kuwaambia Haaland ni mzigo mzito ndani ya Man City.
City wakiwa na Haaland mbele wanakuwa pungufu tayari, sahau kuhusu magoli yake 36 ambapo kama angekua ni mzuri zaidi basi tungekua tunazungumzia magoli 50.
Haaland anaikaba City, pamoja na ubora wao City mwaka huu walikua na bahati pia. Nina imini City wangekuwa wazuri zaidi kama angekuwa mtu mwingine ile nafasi ya Haaland. Hata Foden au Bernardo wangecheza nafasi ya Haaland, City wangekua bora zaidi ya hapa.
Haitachukua muda mrefu Haaland kuchemka City na kuondoka. Haaland hatafanya vizuri sana City, ataondoka ndani ya misimu miwili ijayo.
View attachment 2657407
Unataka kuja kulala? Njoo na deraKajisaidie ukalale
how unamtaja mtu kwenye post ya mwingine? Unampenda sana Nikki? Nenda kaolewe naeniki wa pili hujui mpira wewe mshabikie mama tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]soka najua na magoli nafunga, mwendo wa hattrick tuLabda soka la chumbani kwetu, hapa unawadanganya mashem zangu [emoji28]