Haaland ni tatizo Man City atachemsha ataondoka

Haaland ni tatizo Man City atachemsha ataondoka

Hata goli halijui kihivyo. Siamini kama atakaa city muda mrefu, watamsepesha
Ndio kaanza msimu wa kwanza kawa top scorer. Yani kaadapt mapema Sana. Kama halijui goli huo utoo scorer kaupataje?. Punguza negativity. Mtu kaanza kutisha akiwa salburg, mpaka Dortmund wewe unadai hajui goli?. Unataka afunge magoli mia?
 
Hata sio finisher mzuri. Nimemfatilia sana, chances anazopata ndio nyingi
Hizo chances mastriker wengine waliotangulia walishindwaje kuzipata. Ingekuwa Haaland kaja kuamkia City ningekubliana na wewe, lakini jamaa kaanza kufunga akiwa na timu zingine kabla ya city. Tatizo ukishakuwa juu, haters hawakosi.
 
Naukuunga mkono mtoa mada huyu jamaa kinachombeba ni watu wanaomzunguka man city anacreate nafasi nyingi za kufunga hata uwe lukaku huwezi kosa goli 25 kwa msinu
So kuanzia Salzburg na Dortmund alikuwa anazungukwa na akina bernado Silva?. Mnavyoongea Ni Kama Haaland kaanza uhatari wake City. Haaland angecheza timu yeyote bado angekuwa hatari Kama alivyokuwa Dortmund.
 
Unpopular opinions; Wengi wanaamini Haaland ni mchezaji mzuri sana, ni forward hatari sana, lakini napenda kuwaambia Haaland ni mzigo mzito ndani ya Man City.

City wakiwa na Haaland mbele wanakuwa pungufu tayari, sahau kuhusu magoli yake 36 ambapo kama angekua ni mzuri zaidi basi tungekua tunazungumzia magoli 50.

Haaland anaikaba City, pamoja na ubora wao City mwaka huu walikua na bahati pia. Nina imini City wangekuwa wazuri zaidi kama angekuwa mtu mwingine ile nafasi ya Haaland. Hata Foden au Bernardo wangecheza nafasi ya Haaland, City wangekua bora zaidi ya hapa.

Haitachukua muda mrefu Haaland kuchemka City na kuondoka. Haaland hatafanya vizuri sana City, ataondoka ndani ya misimu miwili ijayo.

View attachment 2657407
Haland bila KDB Kibu Denga ana afadhali.
 
Unpopular opinions; Wengi wanaamini Haaland ni mchezaji mzuri sana, ni forward hatari sana, lakini napenda kuwaambia Haaland ni mzigo mzito ndani ya Man City.

City wakiwa na Haaland mbele wanakuwa pungufu tayari, sahau kuhusu magoli yake 36 ambapo kama angekua ni mzuri zaidi basi tungekua tunazungumzia magoli 50.

Haaland anaikaba City, pamoja na ubora wao City mwaka huu walikua na bahati pia. Nina imini City wangekuwa wazuri zaidi kama angekuwa mtu mwingine ile nafasi ya Haaland. Hata Foden au Bernardo wangecheza nafasi ya Haaland, City wangekua bora zaidi ya hapa.

Haitachukua muda mrefu Haaland kuchemka City na kuondoka. Haaland hatafanya vizuri sana City, ataondoka ndani ya misimu miwili ijayo.

View attachment 2657407
Kajisaidie ukalale
 
Unpopular opinions; Wengi wanaamini Haaland ni mchezaji mzuri sana, ni forward hatari sana, lakini napenda kuwaambia Haaland ni mzigo mzito ndani ya Man City.

City wakiwa na Haaland mbele wanakuwa pungufu tayari, sahau kuhusu magoli yake 36 ambapo kama angekua ni mzuri zaidi basi tungekua tunazungumzia magoli 50.

Haaland anaikaba City, pamoja na ubora wao City mwaka huu walikua na bahati pia. Nina imini City wangekuwa wazuri zaidi kama angekuwa mtu mwingine ile nafasi ya Haaland. Hata Foden au Bernardo wangecheza nafasi ya Haaland, City wangekua bora zaidi ya hapa.

Haitachukua muda mrefu Haaland kuchemka City na kuondoka. Haaland hatafanya vizuri sana City, ataondoka ndani ya misimu miwili ijayo.

View attachment 2657407
niki wa pili hujui mpira wewe mshabikie mama tu
 
Back
Top Bottom