kichakaa man JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 5,500 Reaction score 5,164 Feb 23, 2023 #21 HIMARS said: Kwanini wasikitumie Russia na China maana ndio maadui zao Click to expand... Wanajua kitachowakuta wanaogopa
HIMARS said: Kwanini wasikitumie Russia na China maana ndio maadui zao Click to expand... Wanajua kitachowakuta wanaogopa
Bwana Utam JF-Expert Member Joined Feb 15, 2016 Posts 19,559 Reaction score 36,514 Feb 23, 2023 #22 Marekani nchi ya hovyo sana Ingawaje tetemo la ardhi ni asili
T Trable JF-Expert Member Joined Jan 3, 2023 Posts 1,781 Reaction score 3,288 Feb 24, 2023 #23 Basi Marekani ni Taifa hatarishi mno kwa mataifa mengine" Lakini pia ndo dunia ijue kuwa Marekani si cha mtoto! Ikiwa tekinolijia yao imefikia huko! Tubakini na ubishani wa hapahapa jf kutaka kuaminisha wehu eti urusi naye ni mkuu wa dunia!
Basi Marekani ni Taifa hatarishi mno kwa mataifa mengine" Lakini pia ndo dunia ijue kuwa Marekani si cha mtoto! Ikiwa tekinolijia yao imefikia huko! Tubakini na ubishani wa hapahapa jf kutaka kuaminisha wehu eti urusi naye ni mkuu wa dunia!
Kaka yake shetani JF-Expert Member Joined Feb 1, 2023 Posts 5,771 Reaction score 14,732 Feb 24, 2023 #24 Mkazania dini bajeti kubwa yametokea mahafa mkashindwa kujisaidia kwa bajeti yenu. Mnakuja kusingizia watu. Kesho mtasikia maajabu ya Allah msikiti ujaanguka,sijui siku 13 yupo mzima takibiriiiiii
Mkazania dini bajeti kubwa yametokea mahafa mkashindwa kujisaidia kwa bajeti yenu. Mnakuja kusingizia watu. Kesho mtasikia maajabu ya Allah msikiti ujaanguka,sijui siku 13 yupo mzima takibiriiiiii
M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 15,133 Reaction score 11,914 Feb 24, 2023 #25 HIMARS said: Kwanini wasikitumie Russia na China maana ndio maadui zao Click to expand... Kwani unawaamini hao wanaosingizia sijui HAARP? Kwani Uturuki imeanza leo kupata matetemeko?
HIMARS said: Kwanini wasikitumie Russia na China maana ndio maadui zao Click to expand... Kwani unawaamini hao wanaosingizia sijui HAARP? Kwani Uturuki imeanza leo kupata matetemeko?